Wanawake wanaweza kusmell success yako na personality traits

Wanawake wanaweza kusmell success yako na personality traits

Hawa viumbe wako so sensitive kujua ww ni mtu wa aina gani just by looking at you, or kwenye first conversation. So pisi itakuelewa based on vitu vidogo ambavyo usingeweza kuvijua vina effect kubwa kwenye mtongozo.

Kingine semen retention wakuu, ili uwavutie punguzeni puli. Attractive nature ya mwanaume pia inaambatana na semen retention. Lastly kama ww ni kapuku stop chasing women utapoteza mda na nguvu bure. Jitengenezee success in whatever form na utakuwa valued.
ili uwapate kuwa muongo muongo tu basi, nasisitiza 'jua tu kuongopa'
hakuna u sensitive wowote
 
Nilikua hivyo zaman enz hizo na nilikua nikifungua kinywa ni point tupu, wife alinipendea hii tabia.
Siku hiz nisha vurugwa nachonga ile mbaya 😂
😂 Daaah hii point imenipenya haswa.
Wakati nipo chuo kuna kadada kalikuja "kaka samahani hivi huu ukimya kwanini kwangu tu". Baadae alivokuja gundua nilimdinya shoga yake alikuwa akichekq kila tukikutana sema mimi nilikuwa sijui kama anajua mda huo ,baadae ndo akaja niuliza afu cha ajabu akani bless na yeye😂🙌
 
Kuna wale wakaka wakimya ukikaa nae anaongea kwa kituo wana pepo yao..!🤸
Ukiongea nae Wapi ukiwa Vipi umemvulia? NDIO wanaume wote wakiwa wanapeleka Moto hawaongeiongei sana ni mwendo wa kusikilizia miguno TU au wewe HUYO fulani wako X alikua anapiga mastory Mengi HUKU anaisukumia ndani?

Pardon nimeongea kisukuma kingi sana HAPO km hujaelewa niulize
 
Back
Top Bottom