Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
😀Nilikua hivyo zaman enz hizo na nilikua nikifungua kinywa ni point tupu, wife alinipendea hii tabia.
Siku hiz nisha vurugwa nachonga ile mbaya 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀Nilikua hivyo zaman enz hizo na nilikua nikifungua kinywa ni point tupu, wife alinipendea hii tabia.
Siku hiz nisha vurugwa nachonga ile mbaya 😂
HIVYO ndivyo ilivyo Mkuu kwa maana nyingine tunaita UPEPOIko hivi wanawake wanavutiwa na wewe kwasababu unatoka na wanawake wengine,,,,yaani wana ile kitu kama wanawake wengine wanakupenda basi utakuwa na sifa za kupendwa,nao automatically watajikuta wanavutiwa na wewe
Mfano wake ni kama post ambayo imesomwa na wengi basi ata ukiikuta utajikuta unatamani uifungue usome maana kama wamesoma wengi basi huenda inavutia au ina ujumbe mzuri
🤪🤪Kuna wale wakaka wakimya ukikaa nae anaongea kwa kituo wana pepo yao..!🤸
😁😁Kwa nini wasi smell success zao ?
Hapa umemaliza kila kituPesa kama hamna hata ukiigiza ipo utajulikana huna dooh..
Mwenye pesa hata akiigiza hana kitu pesa inakuwa inaongea kwa sauti sana... inakuchoresha kinoma.
Hilo wanawake wanalitambua tu chap hapa papatu papatu hapa mpunga upo.
Kabiiiiiiiiiisa lo
Mimi ni miongoniKuna wale wakaka wakimya ukikaa nae anaongea kwa kituo wana pepo yao..!🤸
'Semen retention' ndo nini mkuu?!!!Hawa viumbe wako so sensitive kujua ww ni mtu wa aina gani just by looking at you, or kwenye first conversation. So pisi itakuelewa based on vitu vidogo ambavyo usingeweza kuvijua vina effect kubwa kwenye mtongozo.
Kingine semen retention wakuu, ili uwavutie punguzeni puli. Attractive nature ya mwanaume pia inaambatana na semen retention. Lastly kama ww ni kapuku stop chasing women utapoteza mda na nguvu bure. Jitengenezee success in whatever form na utakuwa valued.
Hawawez waka smell success, but ni good predictors. One thing wako good sana ni character judgmentHawa viumbe wako so sensitive kujua ww ni mtu wa aina gani just by looking at you, or kwenye first conversation. So pisi itakuelewa based on vitu vidogo ambavyo usingeweza kuvijua vina effect kubwa kwenye mtongozo.
Kingine semen retention wakuu, ili uwavutie punguzeni puli. Attractive nature ya mwanaume pia inaambatana na semen retention. Lastly kama ww ni kapuku stop chasing women utapoteza mda na nguvu bure. Jitengenezee success in whatever form na utakuwa valued.
Is not smelling, ni prediction. Prediction ni probability in disguise. Wanaweza kuwa right na kuwa wrong, mara nyingi naweza sema wanakuwa wrong sababu wanaume wameshajua how their system work, so they act ili kuwa feed false info, ndipo mwanamke anatumbukia sipo.Sasa si ndo kusmell huko! Predictions zao mara nyingi huwa zipo precise
Mkuu mwanamke anajua sana, trust me unaweza jificha ukamfool once uka hit ila baadae atajua who you are, you can't fool these creatures about feeding false info playboys ndo kazi zao. Ambao target zao ni wanawake wasio na mbele wala nyuma... angalia watu wanaopata madem kirahisi they've nothing to prove. Kingine wanawake hupenda kuenenda jinsi unavyomtreat hata kuambia ka notice kitu hata siku moja ww utahisi hajuiIs not smelling, ni prediction. Prediction ni probability in disguise. Wanaweza kuwa right na kuwa wrong, mara nyingi naweza sema wanakuwa wrong sababu wanaume wameshajua how their system work, so they act ili kuwa feed false info, ndipo mwanamke anatumbukia sipo.
I can say 60/40 raito