Wanawake wanaweza kusmell success yako na personality traits

Wanawake wanaweza kusmell success yako na personality traits

Iko hivi wanawake wanavutiwa na wewe kwasababu unatoka na wanawake wengine,,,,yaani wana ile kitu kama wanawake wengine wanakupenda basi utakuwa na sifa za kupendwa,nao automatically watajikuta wanavutiwa na wewe

Mfano wake ni kama post ambayo imesomwa na wengi basi ata ukiikuta utajikuta unatamani uifungue usome maana kama wamesoma wengi basi huenda inavutia au ina ujumbe mzuri
HIVYO ndivyo ilivyo Mkuu kwa maana nyingine tunaita UPEPO
 
Hawa viumbe wako so sensitive kujua ww ni mtu wa aina gani just by looking at you, or kwenye first conversation. So pisi itakuelewa based on vitu vidogo ambavyo usingeweza kuvijua vina effect kubwa kwenye mtongozo.

Kingine semen retention wakuu, ili uwavutie punguzeni puli. Attractive nature ya mwanaume pia inaambatana na semen retention. Lastly kama ww ni kapuku stop chasing women utapoteza mda na nguvu bure. Jitengenezee success in whatever form na utakuwa valued.
'Semen retention' ndo nini mkuu?!!!
 
Hawa viumbe wako so sensitive kujua ww ni mtu wa aina gani just by looking at you, or kwenye first conversation. So pisi itakuelewa based on vitu vidogo ambavyo usingeweza kuvijua vina effect kubwa kwenye mtongozo.

Kingine semen retention wakuu, ili uwavutie punguzeni puli. Attractive nature ya mwanaume pia inaambatana na semen retention. Lastly kama ww ni kapuku stop chasing women utapoteza mda na nguvu bure. Jitengenezee success in whatever form na utakuwa valued.
Hawawez waka smell success, but ni good predictors. One thing wako good sana ni character judgment
 
Sasa si ndo kusmell huko! Predictions zao mara nyingi huwa zipo precise
Is not smelling, ni prediction. Prediction ni probability in disguise. Wanaweza kuwa right na kuwa wrong, mara nyingi naweza sema wanakuwa wrong sababu wanaume wameshajua how their system work, so they act ili kuwa feed false info, ndipo mwanamke anatumbukia sipo.
I can say 60/40 raito
 
Is not smelling, ni prediction. Prediction ni probability in disguise. Wanaweza kuwa right na kuwa wrong, mara nyingi naweza sema wanakuwa wrong sababu wanaume wameshajua how their system work, so they act ili kuwa feed false info, ndipo mwanamke anatumbukia sipo.
I can say 60/40 raito
Mkuu mwanamke anajua sana, trust me unaweza jificha ukamfool once uka hit ila baadae atajua who you are, you can't fool these creatures about feeding false info playboys ndo kazi zao. Ambao target zao ni wanawake wasio na mbele wala nyuma... angalia watu wanaopata madem kirahisi they've nothing to prove. Kingine wanawake hupenda kuenenda jinsi unavyomtreat hata kuambia ka notice kitu hata siku moja ww utahisi hajui
 
Back
Top Bottom