snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,065
- 24,559
Af kuna wale wakiongea ni sentensi ya utekelezaji, Wakifika mbinguni wasipewe hata kazi ya kuimba wawepo tu wanatikisa kichwa huku wamekunja nneKuna wale wakaka wakimya ukikaa nae anaongea kwa kituo wana pepo yao..!🤸