Wanawake wanaweza kusmell success yako na personality traits

Hahaha una vituko. Cheka balaa
 
Umenichekesha sana aisee! Yaani umenisema mimi jamaa yangu, siku hizi wife ananiambia busara imepotea kabisa! Kuvurugwa maisha haya si mchezo mkuu
Hii comment yako 8menifanya ni login wakati sikuwa na mpango huo wallahi!
 
Mpiga puli anajichukia, sio kweli hizo hisia zako
Kupatwa na aibu hilo ni jambo la kawaida kwa mwanaume yeyote kuna siku machine inagoma katikati tu...
Kwenye Lishe, hapo ndio kitu cha msingi...tule vizuri nguvu tunazo..
 
Facts
 
Wabongo wa jinsia zote wanajua kweli kweli kunusa mafanikio. Ukiwa na fedha halafu zikaisha ndiyo utalewa ninachosema.
 
Hizi naomba unioe nishaambiwa na wanawake 4 mpaka sasa. Ajabu mpaka sasa sijaowa. Mmoja kati yao ameshaolewa. Yule alikua obsessed sana na ndoa, sidhani kama yalikua mapenzi.
Wanafukuzana na umri wakikamilisha mishe zao sarakasi zinaaanza!
 
Mpiga puli anajichukia, sio kweli hizo hisia zako
Kupatwa na aibu hilo ni jambo la kawaida kwa mwanaume yeyote kuna siku machine inagoma katikati tu...
Kwenye Lishe, hapo ndio kitu cha msingi...tule vizuri nguvu tunazo..
Wapiga puli wengi kisaikolojia hawapo sawa. Mashine kugoma inaweza kutokea kwa nadra sana kwa mtu ambaye hapigi puli. Wapiga puli wao ni mara nyingi sana.
 
Appreciate 👍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…