Wanawake wanene (vibonge) piteni hapa mchukue maua yenu

Wanawake wanene (vibonge) piteni hapa mchukue maua yenu

hii mada imenikumbusha mbali sana. kuna kibonge flan kule mashariki lile ukit.omba unapata hisia za ajabu kabisa ni kama ana mkono mwingine uko chini unaovutavuta mkuyenge na kuukandakanda na kuutia kijoto flan ameizing unaweza kujikuta umepiga ukelele mkali kama ule wa yule mtu alichanganyikiwa na kupiga mikelele baada ya kuponywa macho na yesu.

watu wanasema wanawake wote wako sawa (utamaliza mabucha nyama ileile) mimi sikubaliani nao hata kidogo hamna kitu kama icho kuna wanawake wamebarikiwa pakubwa sana inapokuja suala la kunako 6*6
Sahihi mkuu, hawa watu wana kitu cha ziada, huhitaji kutumia nguvu kubwa katika suala zima la kwenda goli nyingi.
 
Bila salamu.

MTAANI.

Ukweli iko wazi wakipita wanawake 15 wembamba mbele ya wanaume, wanaume tutageuka mara moja tu na kuendelea na shughuli zetu.

Lakini ukipita wewe chibonge mmoja tu mbele ya wanaume kwa hakika shughuli za eneo hilo zitasimama hadi pale utakapopotela unakoenda.

NDANI

Ukiwa umepiga nguo yoyote ile ulale, ukae, usimame, utembee yaani inakuwa ni burudani tupu kwa mwanaume (ndiyo sababu wanaume wenye wanawake vibonge wengi hupenda kukaa homu )

KITANDANI
Hapa ndiyo usiguse kabisaa..

Mimi siku nikimpata demu bonge huwa nachota zangu maji kwenye jagi naweka chumbani, maana bila hivyo naweza kufa kwa kiu maana nyinyi watu (vibonge) humfaya mwanaume aende raundi nyingi kuliko uwezo wake wa kawaida.

Yaani ukiona 5G imepanda, ukipapasa minyama 5G imepanda, ukiingia katikati ya mapaja ndiyo mamaaa nahisi hadi 10G hupanda.

Binafsi nikienda mahali ugenini, hata hapo mtaani pawe na wanawake wakawaida 900 akiwepo chibonge mmoja tu ndiyo nitadili nae na ni lazima nitampata tu.

Nisiwachoshe ni usiku sasa Mungu Ibariki Tanzania, Mungu wabariki Vibonge
Sema wanawake wenye hips kubwa na matako makubwa sio wanawake vibonge. Kuna wanawake vibonge wako wako viboko hawaeleweki kiuno kimeanzia wapi.

Siku kuna wanawake Wembley ila kuanzia kiuno kushuka chini ni balaa. Sio vibonge ila wana umbo matata sana.
 
mbona wao wako busy, kupunguza uzito ili wawe portable, na ndyo mahitaji ya wanaume walio wengi, me included!
Ki afya wapo sahihi kufanya hivyo ila kihisia, kingono, kwangu sioni sahihi.
Ila kama wanaona soko kubwa (mapenzi ya wengi) lipo huko hapo ni wao na miili yao ila nitaumia tu kama shabiki.
 
Hakika,paja hilo,kukumbatia mbuyu nako kazi....mwili unatakiwa uviringishwe mikononi mwa mume na akikukumbatia viganja vyake vikutane...

We,sasaaa...🤔 Unakuta mtu anavuja jasho na baridi hili la uyole😳
Bwana bwana,hilo jasho ni bora mtu upoteze hata kwenye kubet
Simambwe
 
Bila salamu.

MTAANI.

Ukweli iko wazi wakipita wanawake 15 wembamba mbele ya wanaume, wanaume tutageuka mara moja tu na kuendelea na shughuli zetu.

Lakini ukipita wewe chibonge mmoja tu mbele ya wanaume kwa hakika shughuli za eneo hilo zitasimama hadi pale utakapopotela unakoenda.

NDANI

Ukiwa umepiga nguo yoyote ile ulale, ukae, usimame, utembee yaani inakuwa ni burudani tupu kwa mwanaume (ndiyo sababu wanaume wenye wanawake vibonge wengi hupenda kukaa homu )

KITANDANI
Hapa ndiyo usiguse kabisaa..

Mimi siku nikimpata demu bonge huwa nachota zangu maji kwenye jagi naweka chumbani, maana bila hivyo naweza kufa kwa kiu maana nyinyi watu (vibonge) humfaya mwanaume aende raundi nyingi kuliko uwezo wake wa kawaida.

Yaani ukiona 5G imepanda, ukipapasa minyama 5G imepanda, ukiingia katikati ya mapaja ndiyo mamaaa nahisi hadi 10G hupanda.

Binafsi nikienda mahali ugenini, hata hapo mtaani pawe na wanawake wakawaida 900 akiwepo chibonge mmoja tu ndiyo nitadili nae na ni lazima nitampata tu.

Nisiwachoshe ni usiku sasa Mungu Ibariki Tanzania, Mungu wabariki Vibonge

Unawajaza ujinga

Enwei,ni vizuri kujikubali uwe mwembamba ama mnene...lakini unene sio jambo la kushadadia sana kiafya
 
Tako na paja teketeke😋

Haswaaa lile linalorindima mwendo au mithili ya muungurumo ya treni ya Dodoma Singida Mkoa Tabora.... kama ulikuwepo enzi zile utaelewa....

Ilikuwa ukitumwa dukani unatoka umejifunga khanga ya kiunoni basi unatembea zako huna hili wala lile, unashangaa nyuma watoto wanakufuata huku wanaimba.... Dodoma Singida Mkoa Tabora, Dodoma Singida Mkoa Tabora..... ujue wamatumwa na wakaka/vijana wa mtaa wanaokusindikiza kwa macho.... nilikuwa sipendiiii na hiwezi toka nyumbani hujajifunga khanga.... utaambiwa umeanza lini uhuni wa mschana kutembea bila khanga....🙄🙄😬😬.

Well, wakati ukuta, nimekumbuka zamani....
Taco na paja teketeke...😋😋😋.
 
Back
Top Bottom