Wanawake wanene (vibonge) piteni hapa mchukue maua yenu

Wanawake wanene (vibonge) piteni hapa mchukue maua yenu

Vipotabo popote mlipo muwe na usiku mwema, nyie matipwatipwa tetema na mishale kama dada wa taifa liwakute lolote la kuwaharibia usiku.
Nakazia
 

Attachments

  • downloadfile-295.jpg
    downloadfile-295.jpg
    116.7 KB · Views: 2
Haswaaa lile linalorindima mwendo au mithili ya muungurumo ya treni ya Dodoma Singida Mkoa Tabora.... kama ulikuwepo enzi zile utaelewa....

Ilikuwa ukitumwa dukani unatoka umejifunga khanga ya kiunoni basi unatembea zako huna hili wala lile, unashangaa nyuma watoto wanakufuata huku wanaimba.... Dodoma Singida Mkoa Tabora, Dodoma Singida Mkoa Tabora..... ujue wamatumwa na wakaka/vijana wa mtaa wanaokusindikiza kwa macho.... nilikuwa sipendiiii na hiwezi toka nyumbani hujajifunga khanga.... utaambiwa umeanza lini uhuni wa mschana kutembea bila khanga....🙄🙄😬😬.

Well, wakati ukuta, nimekumbuka zamani....
Taco na paja teketeke...😋😋😋.
Siku zinasonga sana. Siku hizi tako hilo na guu lake vinavaliwa tight yenye madirisha. Wahenga tunapata tabu.

Ila bwana old is gold asikuambie mtu😋
 
Bila salamu.

MTAANI.

Ukweli iko wazi wakipita wanawake 15 wembamba mbele ya wanaume, wanaume tutageuka mara moja tu na kuendelea na shughuli zetu.

Lakini ukipita wewe chibonge mmoja tu mbele ya wanaume kwa hakika shughuli za eneo hilo zitasimama hadi pale utakapopotela unakoenda.

NDANI

Ukiwa umepiga nguo yoyote ile ulale, ukae, usimame, utembee yaani inakuwa ni burudani tupu kwa mwanaume (ndiyo sababu wanaume wenye wanawake vibonge wengi hupenda kukaa homu )

KITANDANI
Hapa ndiyo usiguse kabisaa..

Mimi siku nikimpata demu bonge huwa nachota zangu maji kwenye jagi naweka chumbani, maana bila hivyo naweza kufa kwa kiu maana nyinyi watu (vibonge) humfaya mwanaume aende raundi nyingi kuliko uwezo wake wa kawaida.

Yaani ukiona 5G imepanda, ukipapasa minyama 5G imepanda, ukiingia katikati ya mapaja ndiyo mamaaa nahisi hadi 10G hupanda.

Binafsi nikienda mahali ugenini, hata hapo mtaani pawe na wanawake wakawaida 900 akiwepo chibonge mmoja tu ndiyo nitadili nae na ni lazima nitampata tu.

Nisiwachoshe ni usiku sasa Mungu Ibariki Tanzania, Mungu wabariki Vibonge
Sio wote mkuu uwez amin mim spend mwanamke bonge yaan akiwa mwembamba hata tak* lisiwepo lakin hana tumbo kipotabo mamaaa nahama kabisa kihisia na sichok....hata kitandan

Yaan spend vibong vinasumbua kwa bed ....lakin slim girl naweza mbeba hata na mech ikiendelea:
 
Mimi naonaga labda ni mifupa sababu dada yangu sioni kama ni mnene ila ni giant kama irene uwoya, mimi pia nikijiangalia kwenye kioo sijioni kibonge
Kwani una kitambi?😂
Sina kitambi. Kawaida tu. Nikiwaambia watu kilo zangu wanakataa ila mizani inasema hivyo
 
Bila salamu.

MTAANI.

Ukweli iko wazi wakipita wanawake 15 wembamba mbele ya wanaume, wanaume tutageuka mara moja tu na kuendelea na shughuli zetu.

Lakini ukipita wewe chibonge mmoja tu mbele ya wanaume kwa hakika shughuli za eneo hilo zitasimama hadi pale utakapopotela unakoenda.

NDANI

Ukiwa umepiga nguo yoyote ile ulale, ukae, usimame, utembee yaani inakuwa ni burudani tupu kwa mwanaume (ndiyo sababu wanaume wenye wanawake vibonge wengi hupenda kukaa homu )

KITANDANI
Hapa ndiyo usiguse kabisaa..

Mimi siku nikimpata demu bonge huwa nachota zangu maji kwenye jagi naweka chumbani, maana bila hivyo naweza kufa kwa kiu maana nyinyi watu (vibonge) humfaya mwanaume aende raundi nyingi kuliko uwezo wake wa kawaida.

Yaani ukiona 5G imepanda, ukipapasa minyama 5G imepanda, ukiingia katikati ya mapaja ndiyo mamaaa nahisi hadi 10G hupanda.

Binafsi nikienda mahali ugenini, hata hapo mtaani pawe na wanawake wakawaida 900 akiwepo chibonge mmoja tu ndiyo nitadili nae na ni lazima nitampata tu.

Nisiwachoshe ni usiku sasa Mungu Ibariki Tanzania, Mungu wabariki Vibonge
Kila mmoja na machaguo yake, Miki mwanamke mwembamba ananikosha sana ila mwanamke mnene namuona kama limzigo
 
Back
Top Bottom