LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
NakaziaVipotabo popote mlipo muwe na usiku mwema, nyie matipwatipwa tetema na mishale kama dada wa taifa liwakute lolote la kuwaharibia usiku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaVipotabo popote mlipo muwe na usiku mwema, nyie matipwatipwa tetema na mishale kama dada wa taifa liwakute lolote la kuwaharibia usiku.
HatariiiNakazia
Siku zinasonga sana. Siku hizi tako hilo na guu lake vinavaliwa tight yenye madirisha. Wahenga tunapata tabu.Haswaaa lile linalorindima mwendo au mithili ya muungurumo ya treni ya Dodoma Singida Mkoa Tabora.... kama ulikuwepo enzi zile utaelewa....
Ilikuwa ukitumwa dukani unatoka umejifunga khanga ya kiunoni basi unatembea zako huna hili wala lile, unashangaa nyuma watoto wanakufuata huku wanaimba.... Dodoma Singida Mkoa Tabora, Dodoma Singida Mkoa Tabora..... ujue wamatumwa na wakaka/vijana wa mtaa wanaokusindikiza kwa macho.... nilikuwa sipendiiii na hiwezi toka nyumbani hujajifunga khanga.... utaambiwa umeanza lini uhuni wa mschana kutembea bila khanga....🙄🙄😬😬.
Well, wakati ukuta, nimekumbuka zamani....
Taco na paja teketeke...😋😋😋.
Sio wote mkuu uwez amin mim spend mwanamke bonge yaan akiwa mwembamba hata tak* lisiwepo lakin hana tumbo kipotabo mamaaa nahama kabisa kihisia na sichok....hata kitandanBila salamu.
MTAANI.
Ukweli iko wazi wakipita wanawake 15 wembamba mbele ya wanaume, wanaume tutageuka mara moja tu na kuendelea na shughuli zetu.
Lakini ukipita wewe chibonge mmoja tu mbele ya wanaume kwa hakika shughuli za eneo hilo zitasimama hadi pale utakapopotela unakoenda.
NDANI
Ukiwa umepiga nguo yoyote ile ulale, ukae, usimame, utembee yaani inakuwa ni burudani tupu kwa mwanaume (ndiyo sababu wanaume wenye wanawake vibonge wengi hupenda kukaa homu )
KITANDANI
Hapa ndiyo usiguse kabisaa..
Mimi siku nikimpata demu bonge huwa nachota zangu maji kwenye jagi naweka chumbani, maana bila hivyo naweza kufa kwa kiu maana nyinyi watu (vibonge) humfaya mwanaume aende raundi nyingi kuliko uwezo wake wa kawaida.
Yaani ukiona 5G imepanda, ukipapasa minyama 5G imepanda, ukiingia katikati ya mapaja ndiyo mamaaa nahisi hadi 10G hupanda.
Binafsi nikienda mahali ugenini, hata hapo mtaani pawe na wanawake wakawaida 900 akiwepo chibonge mmoja tu ndiyo nitadili nae na ni lazima nitampata tu.
Nisiwachoshe ni usiku sasa Mungu Ibariki Tanzania, Mungu wabariki Vibonge
Kipenzi twende GymMimi 86 kg
Dada 100's kg
Mama 100's kg
Wewe una ngapi?Kipenzi twende Gym
95😭😭Wewe una ngapi?
Hii ndyo shida ya vibonge hapa tu na asilmia kubwa wengi ni wachafu wananuka **** balaammh hao wasio na papuchi kunuka wa bongo hiihii au wapi? hapa unakuta mdada kavaa nguo wait yeye mwenyewe wait we unajua msafi sasa ngoja atoe izo nguo uone hiyo shughuli yake. ng'onda mwenyewe anasubiri.
Mimi naonaga labda ni mifupa sababu dada yangu sioni kama ni mnene ila ni giant kama irene uwoya, mimi pia nikijiangalia kwenye kioo sijioni kibonge95😭😭
Sina kitambi. Kawaida tu. Nikiwaambia watu kilo zangu wanakataa ila mizani inasema hivyoMimi naonaga labda ni mifupa sababu dada yangu sioni kama ni mnene ila ni giant kama irene uwoya, mimi pia nikijiangalia kwenye kioo sijioni kibonge
Kwani una kitambi?😂
Itakua ni mifupa ndio mizitoSina kitambi. Kawaida tu. Nikiwaambia watu kilo zangu wanakataa ila mizani inasema hivyo
Taja urefu wako, kiuno chako size ngapi na mguu unavaa kiatu namba ngapi nitakwambia kama wewe ni bonge au sioMimi 86 kg
Dada 100's kg
Mama 100's kg
Mkuu wewe ni daktari au ni mwana mitindo?Taja urefu wako, kiuno chako size ngapi na mguu unavaa kiatu namba ngapi nitakwambia kama wewe ni bonge au sio
Sipo kwenye hata kimoja hapoMkuu wewe ni daktari au ni mwana mitindo?
167cm, kiuno 33, mguu 41,42Taja urefu wako, kiuno chako size ngapi na mguu unavaa kiatu namba ngapi nitakwambia kama wewe ni bonge au sio
Okeee ngoja nikariri somo hapa, linaweza kunisaidia mahaliSipo kwenye hata kimoja hapo
fanya mazoezi mama sitaki kukupoteza95😭😭
Hmm.. kwanza wewe sio mfupi uko wastani. Lakini kwa specification hizo we upo kwenye ubonge kiasi na unahitaji ku maintain hasa kwa kuzingatia mazoezi. Otherwise utakua mshangazi ukiwa bado kabinti. Naweza nikakupa mpaka picha ya mtu ninayehisi mnafanana167cm, kiuno 33, mguu 41,42
Kila mmoja na machaguo yake, Miki mwanamke mwembamba ananikosha sana ila mwanamke mnene namuona kama limzigoBila salamu.
MTAANI.
Ukweli iko wazi wakipita wanawake 15 wembamba mbele ya wanaume, wanaume tutageuka mara moja tu na kuendelea na shughuli zetu.
Lakini ukipita wewe chibonge mmoja tu mbele ya wanaume kwa hakika shughuli za eneo hilo zitasimama hadi pale utakapopotela unakoenda.
NDANI
Ukiwa umepiga nguo yoyote ile ulale, ukae, usimame, utembee yaani inakuwa ni burudani tupu kwa mwanaume (ndiyo sababu wanaume wenye wanawake vibonge wengi hupenda kukaa homu )
KITANDANI
Hapa ndiyo usiguse kabisaa..
Mimi siku nikimpata demu bonge huwa nachota zangu maji kwenye jagi naweka chumbani, maana bila hivyo naweza kufa kwa kiu maana nyinyi watu (vibonge) humfaya mwanaume aende raundi nyingi kuliko uwezo wake wa kawaida.
Yaani ukiona 5G imepanda, ukipapasa minyama 5G imepanda, ukiingia katikati ya mapaja ndiyo mamaaa nahisi hadi 10G hupanda.
Binafsi nikienda mahali ugenini, hata hapo mtaani pawe na wanawake wakawaida 900 akiwepo chibonge mmoja tu ndiyo nitadili nae na ni lazima nitampata tu.
Nisiwachoshe ni usiku sasa Mungu Ibariki Tanzania, Mungu wabariki Vibonge
Nipe hiyo picha ya mtu nijifananishe😂Hmm.. kwanza wewe sio mfupi uko wastani. Lakini kwa specification hizo we upo kwenye ubonge kiasi na unahitaji ku maintain hasa kwa kuzingatia mazoezi. Otherwise utakua mshangazi ukiwa bado kabinti. Naweza nikakupa mpaka picha ya mtu ninayehisi mnafanana