Wanawake wanene wakideka wanaonekana kama makubwa jinga

Wanawake wanene wakideka wanaonekana kama makubwa jinga

The unpaid Seller

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
2,113
Reaction score
6,251
Wasalaam,

Katika pilika za mahusiano nilichogundua kudeka kunampa raha mwanamke japo kwa kiasi ila pia kudeka kwa mwanamke kunampa fursa mwanaume kujimwambafy na kutekeleza 1, 2, 3

Lakini kudeka kunapendeza kwa mwanamke mwembamba sasa unakuta mwanamke kama kiboko ati na yeye anajidekeza haa ha haa. Siwasemi kwa lengo baya ila mwanamke bonge hapendezi kudeka anaonekana kama kubwa jinga tu.

Uzi tayari ASP
 
Faller we[emoji1787][emoji1787],hivi Wanaume mnapenda mwanamke anaedeka? Maana napenda kudeka mpaka hasira.,
Ndio tunapenda, mwanamke kudeka inatafsiri ya mwanamke kumuachia usukani mwanaume aamue 1, 2, 3 na wanaume tunapenda sana kushika usukani.

Mke wangu akideka hua naenjoy japo simuonyeshi asije akatumia hiyo silaha maana atanitesa
 
Wanawake wanene hawafai kwa kazi ya uchakataji wa tunda
FB_IMG_16527236959547626.jpg
 
Faller we[emoji1787][emoji1787],hivi Wanaume mnapenda mwanamke anaedeka? Maana napenda kudeka mpaka hasira.,
Kama wewe ni mwembamba hapo sawa, lkn kama wewe ni kibonge kama Mimi achana na madeko maana utakuwa kubwa jinga [emoji23][emoji23][emoji23].
 
halafu ndo tunaupendo wa kweli kama wa mama yako😂aagp tk tj8

Wacha wee, ila kweli hii haihitaji research kabisa wanawake vibonge wako with genuine heart, very generous ,humble + their kindhearted behaviour is legendary, japo sio wote.
Wapo hivyo kutokana na kupoteza karata ya muonekano hivyo hawawezi kuwa wajinga kukubali kupoteza na karata ya kuwa humble
 
Na ukome kuyasema vibaya mayutong

Manamake manene mapoleee, matulivu, yana huruma, yana upendo, hayana neno na mtu wala hayana hata haja ya kujidekesha yaani otomatikale utakuta tu mwenyewe unalidekesha kwa raha linazokupa...Amani ya moyo mtu unaweza hata kutoroka kazini uje nyumbani chapu ulisalimie tu yaani [emoji39][emoji39]

Vimbaumbau hivi kiranga, gubu, ugomvi na kisirani 24/7 ndo faida gani?...

JamiiForums-1978368465.jpg
 
Na ukome kuyasema vibaya mayutong

Manamake manene mapoleee hayana neno na mtu wala hayana hata haja ya kujidekesha yaani otomatikale utakuta tu mwenyewe unalidekesha kwa raha linazokupa...

Vimbaumbau hivi kiranga, gubu, ugomvi na kisirani 24/7 ndo faida gani? Hata kakijidekesha mtu hujui kama kinataka kufaint kwa ajili ya njaa au kanapiga gheresha....
Kuna TOFAUTI kati ya wanamake wanene aka mabonge na wanawake wenye figure au thick. Huyo ulieweka sio bonge ni mwanamke mwenye figure
 
Na ukome kuyasema vibaya mayutong

Manamake manene mapoleee, matulivu, yana huruma, yana upendo, hayana neno na mtu wala hayana hata haja ya kujidekesha yaani otomatikale utakuta tu mwenyewe unalidekesha kwa raha linazokupa...Amani ya moyo mtu unaweza hata kutoroka kazini uje nyumbani chapu ulisalimie tu yaani [emoji39][emoji39]

Vimbaumbau hivi kiranga, gubu, ugomvi na kisirani 24/7 ndo faida gani? Hata kakijidekesha mtu hujui kama kinataka kufaint kwa ajili ya njaa au kanapiga gheresha....

View attachment 2233464
Bonge ni kama huyu
b8b1c0d9d755c3cd45483f6fddf15193.jpg
 
Back
Top Bottom