Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
๐๐๐๐๐Mkuu sijapenda kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Mkuu sijapenda kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bado naliwaza hilo kombe la dunia na wanawake wafupi [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa, asa sie wenye miili minene kidogo, yaani tuna roho nyeupee pee hata maofisini hatunaga unafiki wala fitnaSema wadada vibonge wana roho nyeupe sana sijui ni kwa nini.
Maofisini mnaongoza kwa maneno ya hapa na paleโฆ talking frm my experience.Kabisa, asa sie wenye miili minene kidogo, yaani tuna roho nyeupee pee hata maofisini hatunaga unafiki wala fitna
Naona unajaribu kuforce kila mwanaume apende unachopenda wewe, umeshaambiwa kila mtu ma taste yake kwa mwanamke ila bado umekomaa tu[emoji1].
Wewe unapenda mwembamba mwingne anapenda mnene, nafikiri ibaki hivyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wasalaam,
Katika pilika za mahusiano nilichogundua kudeka kunampa raha mwanamke japo kwa kiasi ila pia kudeka kwa mwanamke kunampa fursa mwanaume kujimwambafy na kutekeleza 1, 2, 3
Lakini kudeka kunapendeza kwa mwanamke mwembamba sasa unakuta mwanamke kama kiboko ati na yeye anajidekeza haa ha haa. Siwasemi kwa lengo baya ila mwanamke bonge hapendezi kudeka anaonekana kama kubwa jinga tu.
Uzi tayari ASP
Kila mmoja aruke na anaempa ashki za kimapenzi, wewe hupendi wanawake wanene yule hapendi wembamba kisha maisha yaendelee.Hapana,
Huo ni mtazamo wako wewe tu!
Humu kunahitajika darasa la jinsi ya kichangia majadiliano ya mada mbalimbali.
Watu wengi wana-inferiority complex, n.k.
Kina Maxcence waandae mafunzo itapendeza sana watu tukipata mafunzo hayo na kuyapokea itakuwa raha sana.
Halafu wawe wanafuatilia michango ya watu na kuwa-categorize kutokana na uwezo.
Kila mmoja aruke na anaempa ashki za kimapenzi, wewe hupendi wanawake wanene yule hapendi wembamba kisha maisha yaendelee.
Ninae bonge mmoja ana shundu nimejipa low profile basi anaona kama anatoa sadaka ya mbususu kwangu, ila akisikia maongezi kwenye simu na heshima yangu kwa wana haelewi. Huwa namwambia mwanamke apende ndio inanoga ila kama anazuga itakula kwake anashangaa, naishia kucheka. Jana nimetoa 2.5M kwa wakala mbele yake namwambia nimeagizwa na boss, leo anakuja kukesha ngoja aendelee na probation period.Wasalaam,
Katika pilika za mahusiano nilichogundua kudeka kunampa raha mwanamke japo kwa kiasi ila pia kudeka kwa mwanamke kunampa fursa mwanaume kujimwambafy na kutekeleza 1, 2, 3
Lakini kudeka kunapendeza kwa mwanamke mwembamba sasa unakuta mwanamke kama kiboko ati na yeye anajidekeza haa ha haa. Siwasemi kwa lengo baya ila mwanamke bonge hapendezi kudeka anaonekana kama kubwa jinga tu.
Uzi tayari ASP
Ninae bonge mmoja ana shundu nimejipa low profile basi anaona kama anatoa sadaka ya mbususu kwangu, ila akisikia maongezi kwenye simu na heshima yangu kwa wana haelewi. Huwa namwambia mwanamke apende ndio inanoga ila kama anazuga itakula kwake anashangaa, naishia kucheka. Jana nimetoa 2.5M kwa wakala mbele yake namwambia nimeagizwa na boss, leo anakuja kukesha ngoja aendelee na probation period.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]Daah inatia huruma Yani dada ako tumbo mgongo makalio vyote vimelundikana eneo Moja.
Irregular shape[emoji17][emoji174]
Aiseh nathibitisha hili..now na mimi nimeanza kunenepa kama yeye true lovers hawana visirani vya kipumbavu,nilikua na kademu kembamba mbona tulinyooshana!!!!Wacha wee, ila kweli hii haihitaji research kabisa wanawake vibonge wako with genuine heart, very generous ,humble + their kindhearted behaviour is legendary, japo sio wote.
Hahaha very trueNa ukome kuyasema vibaya mayutong
Manamake manene mapoleee, matulivu, yana huruma, yana upendo, hayana neno na mtu wala hayana hata haja ya kujidekesha yaani otomatikale utakuta tu mwenyewe unalidekesha kwa raha linazokupa...Amani ya moyo mtu unaweza hata kutoroka kazini uje nyumbani chapu ulisalimie tu yaani [emoji39][emoji39]
Vimbaumbau hivi kiranga, gubu, ugomvi na kisirani 24/7 ndo faida gani?...
View attachment 2233464
Hata mimi๐[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijapenda
Mimi nitakujulia wapi Sasa??,Labda uje PM tuyajenge ili tupange siku ya kukutana ambapo tutajuana vizuri [emoji41][emoji41][emoji41]Kulumbana sijui[emoji119] naona unanijua vilivyo