Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Wanasema ukiwa na demu kibonge hakuachi kirahisi [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wabongo bwana!View attachment 2234169
[emoji1787]Mademu wanene watabebwa wanavyopelekwa mochwari.
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960] mbavu zangu nyieee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Bonge ni kama huyuView attachment 2233474
Hhahaaa!Pambana na hali yako kamanda...[emoji16]
Flexibility.Sasa hao hiyo mifupa ya vimbaumbau ina faida gani??
Kwenye ushoga na usagaji kwa vile wanaupenda wana sababu gani? Wameufanyia majaribio gani kadhaa na kuthibitisha kuwa unafaa? Unawajua wazungu vizuri mkuu?
Vigezo vya ulimbwende mara nyingi huamriwa na jamii husika ndiyo maana vinatofautiana kutoka jamii moja kwenda nyingine. Lakini kwa vile wazungu ndiyo watawala wa dunia basi kila wanachokiamua ndicho kinakuwa duniani kote. Kwao mwanamke mlimbwende ni lazima awe kimbaumbau.
Huku kwetu hali haikuwa hivyo na tulipendelea maumbo ya Kibantu mpaka miaka ya karibuni baada ya globalization kuingia - pamoja na matatizo yake lukuki!
Kwenu nyinyi vijana ndo mmekulia kwenye usasa huu lakini sisi wazee tuliozaliwa kabla ya uhuru ilikuwa ukiwa na kimwanamke chembamba mbavu zimepangana unachekwa kwamba pengine unakitesa au hukilishi vizuri.
Kila kitabu na wakati wake lakini....
Kulumbana sijui[emoji119] naona unanijua vilivyoAisee achana kabisa na madeko,sidhani km unapendeza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wabongo bwana!View attachment 2234169
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu sasa anavyopenda kudeka, bas mie mbavu cna lol.Imebidi Ni imagine mtu Kama loveness wa juakali nae akiwa anadeka cjui anafananaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka kama chizi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji134][emoji134]
Pole kwa mbavu zako[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960] mbavu zangu nyieee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Lizurii likiwa ndani ya Nguoo...[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna jamaa mmoja alinizidi kiumri kuna siku tumekaa kijiweni tunapiga story akanambia usije ukaoa mwanamke bonge nikamuuliza kwa nn hakunipa jibu maana mke wake ni bonge mpaka leo naiwaza kauli yake japo sijafanikiwa kuoa hivi vibonge wana shida gani swali juu ya mada.
Kweli mkuu, likivua ni habari nyingine kabisaLizurii likiwa ndani ya Nguoo...[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lizurii likiwa ndani ya Nguoo...[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona unajaribu kuforce kila mwanaume apende unachopenda wewe, umeshaambiwa kila mtu ma taste yake kwa mwanamke ila bado umekomaa tu😄.Kuzani kuwa unene ni neema si sawa na ni mtazamo wa kijima.
Eti ionekane kama ni mke atakuwa anapata matunzo mazuri [emoji3][emoji3]
Ni ujinga mtu mwenye mtazamo wa hivyo anatakiwa kupewa elimu ya lishe aelewe changamoto za overweight.
Mkuu sijapenda kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wabongo bwana!View attachment 2234169