Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo najiulizaginakuwaje Hawa watu waka na roho nzur Sana [emoji38] naupiga utelezi wa dada mmoja hapa mke ya mutu haloo Hana tabu dada wa watuSema wadada vibonge wana roho nyeupe sana sijui ni kwa nini.
Waambie waambie ety unakuta mwanamke ana kilo 80, 90, 100, 120, 150 ety na ye anadeka "" Babe naomba nibebe nimechoka"""" Hapo mwanaume anaanza kusema hili nalo jitu zima ovyo....... Lakin kg 40, 60, hata akisema babe nibebe utasikia saw Sweetheart ngoja nkubebe.Wasalaam,
Katika pilika za mahusiano nilichogundua kudeka kunampa raha mwanamke japo kwa kiasi ila pia kudeka kwa mwanamke kunampa fursa mwanaume kujimwambafy na kutekeleza 1, 2, 3
Lakini kudeka kunapendeza kwa mwanamke mwembamba sasa unakuta mwanamke kama kiboko ati na yeye anajidekeza haa ha haa. Siwasemi kwa lengo baya ila mwanamke bonge hapendezi kudeka anaonekana kama kubwa jinga tu.
Uzi tayari ASP
Aisee achana kabisa na madeko,sidhani km unapendeza.Mm sio kibonge,saizi yakati sipo kwa wembamba Wala vibonge, napenda kudeka sanaaaa[emoji8]
Sasa hawa,hayo manyama yao yana faida gani??.Huna pointi. Kigezo kikubwa cha ubonge wa mtu ni uzito wake bila kujali kama ni pear-shaped au apple-shaped. Basi itakubidi urekebishe title ya uzi wako na usomeke kuwa unaowakandia ni wanawake wanene wasio na shepu...
Na hao mabonge wasio na shepu unahangaika nao wa nini? Au unaishi mikoa ya huko wanakopatikana kwa wingi? [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Kamata bonge halafu pear-shaped ule mema ya dunia kijana acha kukandia vitu usivyovijua! [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2233496View attachment 2233497View attachment 2233498
Sasa hao hiyo mifupa ya vimbaumbau ina faida gani??Sasa hawa,hayo manyama yao yana faida gani??.
Sasa hao hiyo mifupa ya vimbaumbau ina faida gani??
Sasa hao hiyo mifupa ya vimbaumbau ina faida gani??
Pambana na hali yako kamanda...[emoji16]Vinakunjika kirahisi Na kuweza kubinuka kirahisi!
Na stamina!
Wasukuma wote? [emoji15][emoji15][emoji15]Kwani ni kweli kuwa waukuma mnapendaga wanawake bantu group?
Wanawake wanene?
[emoji14][emoji14]
Wasukuma wote? [emoji15][emoji15][emoji15]
Potezea kamanda!Wewe ndio utuambie sasa [emoji3][emoji3]
Wasalaam,
Katika pilika za mahusiano nilichogundua kudeka kunampa raha mwanamke japo kwa kiasi ila pia kudeka kwa mwanamke kunampa fursa mwanaume kujimwambafy na kutekeleza 1, 2, 3
Lakini kudeka kunapendeza kwa mwanamke mwembamba sasa unakuta mwanamke kama kiboko ati na yeye anajidekeza haa ha haa. Siwasemi kwa lengo baya ila mwanamke bonge hapendezi kudeka anaonekana kama kubwa jinga tu.
Uzi tayari ASP
Wazungu vitu vingi wanavyovipenda huwa na sababu na siyo hivi hivi tu!
Unakuta jambo limekuwa majaribio kadhaa na kuthibitishwa kufaa!
Upo kundi lipiHa ha haa, aisee