Wanawake wanene wakideka wanaonekana kama makubwa jinga

Wanawake wanene wakideka wanaonekana kama makubwa jinga

Kuna jamaa mmoja alinizidi kiumri kuna siku tumekaa kijiweni tunapiga story akanambia usije ukaoa mwanamke bonge nikamuuliza kwa nn hakunipa jibu maana mke wake ni bonge mpaka leo naiwaza kauli yake japo sijafanikiwa kuoa hivi vibonge wana shida gani swali juu ya mada.
Na uthisubutu kweli
 
Na ukome kuyasema vibaya mayutong

Manamake manene mapoleee, matulivu, yana huruma, yana upendo, hayana neno na mtu wala hayana hata haja ya kujidekesha yaani otomatikale utakuta tu mwenyewe unalidekesha kwa raha linazokupa...Amani ya moyo mtu unaweza hata kutoroka kazini uje nyumbani chapu ulisalimie tu yaani [emoji39][emoji39]

Vimbaumbau hivi kiranga, gubu, ugomvi na kisirani 24/7 ndo faida gani?...

View attachment 2233464
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zhongtong climber hii.
 
Kudekewa raha sana haijalishi ni bonge au mwembamba,
Hata nikiwa busy kiasi gani akianza mideko tu naacha kila kitu namdekeza,
[emoji2]
Ndyooooh babeeeezz nidekezee, [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Mic u sana, mume msalimie mke mwenza.
 
Wabongo bwana!
255757806066_status_c49ededca1da42258312009dd39a12d2.jpg
 
Na ukome kuyasema vibaya mayutong

Manamake manene mapoleee, matulivu, yana huruma, yana upendo, hayana neno na mtu wala hayana hata haja ya kujidekesha yaani otomatikale utakuta tu mwenyewe unalidekesha kwa raha linazokupa...Amani ya moyo mtu unaweza hata kutoroka kazini uje nyumbani chapu ulisalimie tu yaani [emoji39][emoji39]

Vimbaumbau hivi kiranga, gubu, ugomvi na kisirani 24/7 ndo faida gani?...

View attachment 2233464
Naam Sheikh.
 
Kuna jamaa mmoja alinizidi kiumri kuna siku tumekaa kijiweni tunapiga story akanambia usije ukaoa mwanamke bonge nikamuuliza kwa nn hakunipa jibu maana mke wake ni bonge mpaka leo naiwaza kauli yake japo sijafanikiwa kuoa hivi vibonge wana shida gani swali juu ya mada.
Unaweza oa mke mwembamba ile anakuja kwako na mtoto tayari ndiyo anafutuka kama kiboko utafanyaje hapo!
 
Imebidi Ni imagine mtu Kama loveness wa juakali nae akiwa anadeka cjui anafananaje
 
Back
Top Bottom