Na ukome kuyasema vibaya mayutong
Manamake manene mapoleee, matulivu, yana huruma, yana upendo, hayana neno na mtu wala hayana hata haja ya kujidekesha yaani otomatikale utakuta tu mwenyewe unalidekesha kwa raha linazokupa...Amani ya moyo mtu unaweza hata kutoroka kazini uje nyumbani chapu ulisalimie tu yaani [emoji39][emoji39]
Vimbaumbau hivi kiranga, gubu, ugomvi na kisirani 24/7 ndo faida gani? Hata kakijidekesha mtu hujui kama kinataka kufaint kwa ajili ya njaa au kanapiga gheresha....
View attachment 2233464