Wanawake wanene wakideka wanaonekana kama makubwa jinga

Daah inatia huruma Yani dada ako tumbo mgongo makalio vyote vimelundikana eneo Moja.
Irregular shapeπŸ˜”πŸ’”
 
Kabisa, asa sie wenye miili minene kidogo, yaani tuna roho nyeupee pee hata maofisini hatunaga unafiki wala fitna
Maofisini mnaongoza kwa maneno ya hapa na pale… talking frm my experience.

Mna umbea mwingi 🀣🀣
 
Naona unajaribu kuforce kila mwanaume apende unachopenda wewe, umeshaambiwa kila mtu ma taste yake kwa mwanamke ila bado umekomaa tu[emoji1].

Wewe unapenda mwembamba mwingne anapenda mnene, nafikiri ibaki hivyo.



Hapana,

Huo ni mtazamo wako wewe tu!

Humu kunahitajika darasa la jinsi ya kichangia majadiliano ya mada mbalimbali.

Watu wengi wana-inferiority complex, n.k.

Kina Maxcence waandae mafunzo itapendeza sana watu tukipata mafunzo hayo na kuyapokea itakuwa raha sana.

Halafu wawe wanafuatilia michango ya watu na kuwa-categorize kutokana na uwezo.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Kila mmoja aruke na anaempa ashki za kimapenzi, wewe hupendi wanawake wanene yule hapendi wembamba kisha maisha yaendelee.
 
Isipokuwa science inashauri kwamba uzito kupita kiasi sio Salama!

Asomaye na afahamu!
 
Ninae bonge mmoja ana shundu nimejipa low profile basi anaona kama anatoa sadaka ya mbususu kwangu, ila akisikia maongezi kwenye simu na heshima yangu kwa wana haelewi. Huwa namwambia mwanamke apende ndio inanoga ila kama anazuga itakula kwake anashangaa, naishia kucheka. Jana nimetoa 2.5M kwa wakala mbele yake namwambia nimeagizwa na boss, leo anakuja kukesha ngoja aendelee na probation period.
 

[emoji23]eti probation
 
Daah inatia huruma Yani dada ako tumbo mgongo makalio vyote vimelundikana eneo Moja.
Irregular shape[emoji17][emoji174]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
 
Wacha wee, ila kweli hii haihitaji research kabisa wanawake vibonge wako with genuine heart, very generous ,humble + their kindhearted behaviour is legendary, japo sio wote.
Aiseh nathibitisha hili..now na mimi nimeanza kunenepa kama yeye true lovers hawana visirani vya kipumbavu,nilikua na kademu kembamba mbona tulinyooshana!!!!
 
Hahaha very true
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…