Wanawake warembo wa sura na umbo ukiwatongoza hawakatai, kimbembe wale wa upande wa pili, hivi ni kwa nini?

Wanawake warembo wa sura na umbo ukiwatongoza hawakatai, kimbembe wale wa upande wa pili, hivi ni kwa nini?

Hahahha...inategemea na unavyomtokea wanaume wengne hawajui kutongoza unakuta mwanaume unaanza jisifia mpk kero unajifananisha na bill gate
Hao ni kwa wengine, ila mimi nimejionea na wala sijifii, lakini wamenitupilia huko
 
Tanzania , vijana wengi maisha yanawapeleka kasi sana.


Aiseeeeh, eeeh Mola ponya vijana hawa!!
Ni kweli mkuu, maisha sasa chini ya manunuzi ya Mheshimiwa yanatupeleka more than less!
 
Labda nao wamekuona wewe kigagula, kwaio ni bampa to bampa. Kinyume na hapo fanya mchakato pengne unachelesha dozi
Mbona warembo wanatiki fresh tu..tena bila hata mizinga..ni wachache tu huwa wanapima upepo wa kunipiga vizinga..!
 
Niaje watu wazima wenzangu..?
Hivi siku hizi mambo yamekuwa viceversa? Ndani ya wiki mbili nimetongoza wanawake kama nane hivi, wawili nishawashughulikia ni wakali balaa...wala hata sikuamini kama ntawachapa nao.

Katika hao nane, watano ni mobeto haswa {kwa mtazamo wangu lakini , na hata gentlemen rijali ukiwaona lazima uwatolee mate} ..hao watatu daah ni kusema ugumu tu ukizidi unapunguza..huwezi kwenda nao public place ukachill nao, hawana mvuto kwa kifupi.

Cha ajabu hao watatu kila nikiwatupia sound full kunitukana na kunidharau..nikaona siyo ishu, hao mobeto wengine wala hawana hiyana kiroho safi na kuna mmoja weekend amesema ananitembela ninapoishi, kibla tayari.! Sasa najiuliza inakuaje watoto warembo wametiki lakini vile vigagula vimenitoselea mbali.
  • Ni kwamba wanajielewa?
  • wanajiamini?
  • hawajiamini?
Na hawa warembo vipi mbona imekuwa kusukuma mlevi....ni kwamba..
  • Wana ngoma nini, so hawana cha kupoteza?
  • Au ndo desemba hii wanatafuta expansion joints
  • Nimewavutia?
NB; Furaha yangu hao warembo hakuna hata mmoja aliyenipiga mzinga.!!😀😀😀
Thubutuuu,kutopigwa mzinga hata na mrembo mmoja kati ya hao wanane umedhihilisha hii story ya kutunga,babu story kama hizi tupia fb maana huko hata mahausi gelo wapo,huku watu wanajielewa sana tu
 
Thubutuuu,kutopigwa mzinga hata na mrembo mmoja kati ya hao wanane umedhihilisha hii story ya kutunga,babu story kama hizi tupia fb maana huko hata mahausi gelo wapo,huku watu wanajielewa sana tu
Mkuu kuna ile mizinga ya haja mwanaume unapigwa hadi kichwa kinauma, kina mizinga midogo kama vocha buku kumi, nauli ya bodaboda nk hiyo siiweki kwenye fungu la mizinga, pengine tunatofautiana!
Kuna watu wanapigwa mizinga inafika hadi mill 8 hushangai?
 
Back
Top Bottom