Wanawake/Wasichana tuwe makini sana

Bia kubwa ndo bia gani hizo[emoji848]
 
Kuna wadada wanatabia ya kudhurumu mapenzi...yaan anakupiga mizinga kama yote na kuigiza anakupenda ukimuomba mbunye kalenda tu kila cku mwishowe anajifanya ety mjanja anakukataa inauma sana

kama mtu humtaki mkatae tu na usichukue kitu chochote


"kula vya watu ni kujiingiza kwenye mtego ipo cku utauumbuka"
 
Kabisaa
 
Mimi mwenywe naisubr hiyo connection, mzabzab anataka aone kilichotendeka [emoji23]
 
Wewe unahisije, kwan kila story lazima details zote ziwepo , ww jua tuu alikuja kumtafuta, mm na ww hatujui n baada ya mda gani
 
Yeah alikunywa safari kubwa 5 na kvant 2
 
Haisaidii kitu wakirusha mtandaoni utajuta na hii globalization mpaka wanaoe watakuja kuona na wajukuu zako

Maeneo mengi yanatokea haya mambo chanzo ni wahusika wote mwanamke unaitwa bar unaelewa tayar ushamkaribisha shetani achen ushenzi kupelekwa out je angeuliwa angelipiza saa ngapi ushenzi mnaufuata wenyewe
 
Iwe chai au uji mm sijui...

Neno ni mojaaa tu.....
Mimi kwangu, Ex sijui X sijui Ekisi harudiwi hataaa aje na trick gani, kwanza mm tukishaachaa for 3 Months, ujueee ndy imeishaaaa hivyooooo hata out sijui Night date siji....

Pole yakee mdada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…