Bia kubwa ndo bia gani hizo[emoji848]Kuna kipengele umeacha alilewa bia kubwa tano na K vant pia
Hapo ndo alijiroga alijifanya anamkomesha ex mwishowe kakomeshwa yeye ila I swear mwanaume atakaenibaka kupiga picha na kurusha kwenye mitandao nikishindwa kumuua,ntamfunga maisha ,na nikishindwa namroga ntaenda hata msumbiji aseeh sijawahi roga mtu Ila ntajifunzia kwake...
KabisaaKuna wadada wanatabia ya kudhurumu mapenzi...yaan anakupiga mizinga kama yote na kuigiza anakupenda ukimuomba mbunye kalenda tu kila cku mwishowe anajifanya ety mjanja anakukataa inauma sana
kama mtu humtaki mkatae tu na usichukue kitu chochote
"kula vya watu ni kujiingiza kwenye mtego ipo cku utauumbuka"
Mimi mwenywe naisubr hiyo connection, mzabzab anataka aone kilichotendeka [emoji23]Ebu fanya basi connection ya hizo video bwana....tutamini vipi ni kweli?
Jokes aside. Hii kitu kuna demu mmoja alinismulia pia kuwa ex wake hivyo hivyo siku kamwambia tutoke out jamaa yeye ana gharamia kila kitu bia kama vote chakula. Demu chakali. Usubuhi demu anajikuta tigo inauma kinoma. Ndio akampigia besty wake afanyeje. Besy kamwambia kalia maji ya moto.
So moral of the story is women plz hizi desparados na savannah tunazotoa sie wanaume sio za bure ati.
Wewe unahisije, kwan kila story lazima details zote ziwepo , ww jua tuu alikuja kumtafuta, mm na ww hatujui n baada ya mda ganiHii itakuwa ni chai, timeline haijakaa sawa...
Kafanyiwa ushenzi wote huo jana kiasi akawa hajitambui, kapelekwa hospitali na kufanyiwa vipimo vilivyoonesha hawezi kuzaa tena, karecover na kuanza kupiga simu n.k n.k vyote hivi ni katika muda wa jana na leo [emoji56][emoji56]
Yeah alikunywa safari kubwa 5 na kvant 2Kuna kipengele umeacha alilewa bia kubwa tano na K vant pia
Hapo ndo alijiroga alijifanya anamkomesha ex mwishowe kakomeshwa yeye ila I swear mwanaume atakaenibaka kupiga picha na kurusha kwenye mitandao nikishindwa kumuua,ntamfunga maisha ,na nikishindwa namroga ntaenda hata msumbiji aseeh sijawahi roga mtu Ila ntajifunzia kwake...
Haisaidii kitu wakirusha mtandaoni utajuta na hii globalization mpaka wanaoe watakuja kuona na wajukuu zakoKuna kipengele umeacha alilewa bia kubwa tano na K vant pia
Hapo ndo alijiroga alijifanya anamkomesha ex mwishowe kakomeshwa yeye ila I swear mwanaume atakaenibaka kupiga picha na kurusha kwenye mitandao nikishindwa kumuua,ntamfunga maisha ,na nikishindwa namroga ntaenda hata msumbiji aseeh sijawahi roga mtu Ila ntajifunzia kwake...
A coin has two sides....Maybe
Wee bwana connection muhimu. Ukiipata usisahau kupita pm kwanguMimi mwenywe naisubr hiyo connection, mzabzab anataka aone kilichotendeka [emoji23]