Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
- Thread starter
- #101
😁😁😁Makumbusho ya Taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁Makumbusho ya Taifa
Unachekesha watu wewe🤣🤣Wanapatikana makanisani sio mikoani au wilayani au popote nje ya kanisani
Huko kwingine inakula kwako muda wowote
Hakika😂 Usiwaze
Uje chap sasaHakika
Kanisani ni hatari sana bora uchukue nje upeleke kanisaniWanapatikana makanisani sio mikoani au wilayani au popote nje ya kanisani
Huko kwingine inakula kwako muda wowote
Ajazaliwa huyo kwani we upendi helaUmesahau wasiopenda hela
😹
Nipo ila hamna nitakachooWako wapi wanawake wife material?
Kabisa mkuuHawa wengi uangukia kwa wanaume washenzi wanaowaharibia
Nitakachoo ............... FinishNipo ila hamna nitakachoo
😂😂😂Hao wasiotulia/ wanaocheat, walioharibika, na wenye STDs wanacheat na nani? Je na wadudu, au miti? Bila shaka jibu ni wanaume.
Eh sasa ukiwa huna matunzo si shida hiyooNitakachoo ............... Finish
Siku ila kwangu Mimi natoa matunzoEh sasa ukiwa huna matunzo si shida hiyoo
Kweli kabisa ila single mama wengi wametuliaSingle mama wengi ni wanawake waliokuwa watulivu wakingojea mme bora kwa sababu hawana uzoefu na wanaume sababu ya kujichunga wanaangukia kwa matapeli wanawatumia wanawaacha.
Mwanamke mjanja au malaya hawezi kuwa single mama kwa sababu ana skill za kuwajua wanaume matapeli thus upata bahati ya kuopoa wanaume waungwana watulivu
Halafu huku sasa wengi ni wadogo sana 25 to 29 . Na mie 30+Siku ila kwangu Mimi natoa matunzo