Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moyo wangu ulikuwa haubanduki kwake,nikimwona nasisimka.....nikisikia sauti yake naganda naacha kufanya nilichokuwa nafanya....nikiwa nae karibu ni kama baba yangu (simkumbuki my dad alipass away nikiwa 3 yrs old) Lakini akanipa mimba na kusepa.Sasa mkuu hapo nimebaki na upendo gan moyoni kama siyo dirtyheartUlimpendea nini huyo aliyekuumiza?
Wenyewe wanadai kwamba wao wako Kwa ajiri ya kuhudumiwa.
Ukiwauliza wao wana mhudumia nini mwanaume?Watakujibu sex
Ikoje hiyo mkuuKuna uzi humu uliletwa jinsi ya kuishi na manzi wa namna hii aisee nimejaribu nimekua master of the game.Mbususu unakula with Minimum costs 😊
Mpaka mbadilike, nyuzi zitapunguaNyuzi za wanawake zimekuwa nyingi aaagh[emoji36][emoji36][emoji36]
Jaribu kumtafutaMoyo wangu ulikuwa haubanduki kwake,nikimwona nasisimka.....nikisikia sauti yake naganda naacha kufanya nilichokuwa nafanya....nikiwa nae karibu ni kama baba yangu (simkumbuki my dad alipass away nikiwa 3 yrs old) Lakini akanipa mimba na kusepa.Sasa mkuu hapo nimebaki na upendo gan moyoni kama siyo dirtyheart
Nilimwambia bora nife kuliko kurudiana nae,so even to u nasema BORA NIFE KAMA NITAANZA KUMPENDA TENA.It's better to die aiseeJaribu kumtafuta
Huyo mtoto akikuwa atamtaka baba yake, si ajabu akawa na mapenzi makubwa zaidi kwa baba yake.Nilimwambia bora nife kuliko kurudiana nae,so even to u nasema BORA NIFE KAMA NITAANZA KUMPENDA TENA.It's better to die aisee
Sasa kwani kuna ubaya gani kumlipia mpenzi mafuta jamani. Mbona sie tunawahonga hela nyingi tuu kisa uteleziNi kweli kwa mfano mimi moyo wangu umebutuliwa mno napenda mtu akiwa ananitunza,ila wale wanaoanzaanza ndo hukopa hadi vikoba walee wawapendao kwa dhati....mi nakumbuka nishawahi kujipa bill kabisa ya kumjazia mafuta gari yake kwa mshahara wangu wa ualimu😛😛😂
Umefika mbal sana..na hii ni kwasabb ulikuwa mgen wa mapenzNilimwambia bora nife kuliko kurudiana nae,so even to u nasema BORA NIFE KAMA NITAANZA KUMPENDA TENA.It's better to die aisee
Mi no care,wapendane tuHuyo mtoto akikuwa atamtaka baba yake, si ajabu akawa na mapenzi makubwa zaidi kwa baba yake.
Kweli wao hudum yao ni sex ila sasa tatizo wanakera pale wanaposema kiwa ugegegede mbususu yao tuuWenyewe wanadai kwamba wao wako Kwa ajiri ya kuhudumiwa.
Ukiwauliza wao wana mhudumia nini mwanaume?Watakujibu sex
Afu mbona nakuomba hutakiSasa kwani kuna ubaya gani kumlipia mpenzi mafuta jamani. Mbona sie tunawahonga hela nyingi tuu kisa utelezi
Wee sii nimekwambia kuwa nitakupa pale utakapo kubaliana na sharti ya kwaba mbususu zingine niwe huru kuzigegedaAfu mbona nakuomba hutaki
Sawa nimekuelewaUmefika mbal sana..na hii ni kwasabb ulikuwa mgen wa mapenz
Kila sku watu wanaunizwa na kuumiza, usilazimishe dunia ikuelewa badala yakr ww uielewe dunia
Moyo jiwe huu,,sina hiyana ili mradi nikiwa nawe ni wangu kwa wakati huo....ila kama mchoyo hupewiWee sii nimekwambia kuwa nitakupa pale utakapo kubaliana na sharti ya kwaba mbususu zingine niwe huru kuzigegeda
Njoo pm tutajenge wala hamna shida ni full kupeana utelezi mammyMoyo jiwe huu,,sina hiyana ili mradi nikiwa nawe ni wangu kwa wakati huo....ila kama mchoyo hupewi
Ndo mpango mzimaNjoo pm tutajenge wala hamna shida ni full kupeana utelezi mammy
Zinazohusu wanawake au zinazoandaliwa na wanawake?Nyuzi za wanawake zimekuwa nyingi aaagh[emoji36][emoji36][emoji36]