ROGATH MCHAU
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 569
- 1,009
Kuolewa/kutokuolewa hakuhusiani na hizi sbb,sio kweli!Nimepata uzoefu huu, kupitia mazingira mbalimbali ya kimahusiano. Kila niliyekuwa nakutana naye, awe ameajiriwa, amejiajiri, yuko chuo, au hana ajira; wote wanaomba fedha za matumizi pamoja na gharama za kuendesha maisha yao.
Unaweza kushangaa mtu ameajiriwa au amejiajiri na ana kipato kizuri tu, lakini mwisho wa siku atataka akubane wewe mwanaume kwa kila kitu. Wakati katika mahusiano kila mmoja ananufaika na uwepo wa mwenzie, mbali na kumtolea gundu la kutokuwa kwenye mahusiano.
Sasa, najiuliza ni nini maana ya mapenzi; Ikiwa, wao wanawatumia wanaume kama wafadhili wa maisha yao, kwa kigezo cha kuwa kwenye mahusiano?
Hii hali imesababisha wadada wengi kutokuolewa, kutokana na kuendekeza mambo ya kumtumia mwanaume kama mfadhili wa kutimiza malengo yao ya kiuchumi.
[emoji849]Huu utafiti urudiwe tafadhalindio maana kwa mwaka mwanamke anachapwa na wanaume wasiopungua 55
Za wanaume wanaolialiaNyuzi za wanawake zimekuwa nyingi aaagh[emoji36][emoji36][emoji36]
Huna helaJamani mimi i mgumu sana kutoa pesa yanggu kwa mwanamke.Yan ni mgumu kishenz mpaka muda mwingine najichukia sijui natokaje kwenye hik kifungo.Yan nikishanusa tu harufu ya kupigwa mzinga natoka mbio kama askar wa ukraine mbele ya warusi.kwakifupi siwez kuhonga haga 10k kisa mbususu...siweziiiii
Usingekuwa na mahusiano nae ww angekuwa na mwingine!MLETA UZI UTAKUWA UMETUGUSA WANAUME WENGI, YANI WANAWAKE SIKU HIZI WANPIGA VIZINGA MPAKA MWANAUME UNAJIULIZA HIVI KAMA NISINGEKUA NA MAHUSIANO NAE ANGEPATA WAPI HAYA MAHITAJI ANAYONISUMBUA NAYO KILA SIKU?
MPAKA BAADHI YA WANAUME SASA TUNAOGOPA KUINGIA KWENYE MAHUSIANO MAANA TUTAGEUZWA ATM MACHINE NA HII INAWAPUNGUZIA WANAWAKE WENGI SIFA YA KUOLEWA.
Wee wapelekee moto tuu mwanawane. Usiweke ndaniMLETA UZI UTAKUWA UMETUGUSA WANAUME WENGI, YANI WANAWAKE SIKU HIZI WANPIGA VIZINGA MPAKA MWANAUME UNAJIULIZA HIVI KAMA NISINGEKUA NA MAHUSIANO NAE ANGEPATA WAPI HAYA MAHITAJI ANAYONISUMBUA NAYO KILA SIKU?
MPAKA BAADHI YA WANAUME SASA TUNAOGOPA KUINGIA KWENYE MAHUSIANO MAANA TUTAGEUZWA ATM MACHINE NA HII INAWAPUNGUZIA WANAWAKE WENGI SIFA YA KUOLEWA.
Tupe sababuKuolewa/kutokuolewa hakuhusiani na hizi sbb,sio kweli!
njoo inbox nikupe takwimu za utafiti[emoji849]Huu utafiti urudiwe tafadhali
Noma sana!Ni kweli kwa mfano mimi moyo wangu umebutuliwa mno napenda mtu akiwa ananitunza,ila wale wanaoanzaanza ndo hukopa hadi vikoba walee wawapendao kwa dhati....mi nakumbuka nishawahi kujipa bill kabisa ya kumjazia mafuta gari yake kwa mshahara wangu wa ualimu😛😛[emoji23]
Tutag basi na sisi basi maana hili tatizo la kuombana limekuwa SUGU kuliko hata Mr Two kiasi kwamba hadi wake zetu wanatutadangia humu kwenye ndoaKuna uzi humu uliletwa jinsi ya kuishi na manzi wa namna hii aisee nimejaribu nimekua master of the game.Mbususu unakula with Minimum costs [emoji4]
Tupe hapahapa ni kama sio za kwelinjoo inbox nikupe takwimu za utafiti
Sawa mkuu.Huo nao ni ukwelHuna hela
Wanaume wenye hela hata hawapati shida,wanatoa tu
[emoji16][emoji16]Sawa mkuu.Huo nao ni ukwel
Ni kweli kwa mfano mimi moyo wangu umebutuliwa mno napenda mtu akiwa ananitunza,ila wale wanaoanzaanza ndo hukopa hadi vikoba walee wawapendao kwa dhati....mi nakumbuka nishawahi kujipa bill kabisa ya kumjazia mafuta gari yake kwa mshahara wangu wa ualimu😛😛[emoji23]
Naona katika hilo Mungu aliingilia katiafu inaonekana walimu munaongoza kwa kuwakopea mamilioni hao wanaume matapeli
Ila nyie walimu, wengi wenu huwa mna mapenzi ya kweliNaona katika hilo Mungu aliingilia kati