Wanawake wengi ni wavumilivu kwenye maisha kuliko wanaume

Wanawake wengi ni wavumilivu kwenye maisha kuliko wanaume

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
27,031
Reaction score
49,928
Ukisoma mada nyingi humu wanaume wengi wanalalamika kuhusu ndoa zao

Msije mkadhani wanawake ni wabaya lah

Wanawake wengi wanasulubika vibaya mno sema hatulalamiki.

Tumeumbwa kuvumilia

Pia tunajua jinsi ya kupambana na changamoto

All in all mnaopitia changamoto za ndoa poleni sana.tafuta Amani ya moyo wako maisha ni haya haya
 
We umeamua tu kuchangamasha jukwa

Au ku-seek attention

Ila tambua kuwa wanawake ni kama
psychopaths

Kula chuma hiki kwanza:
 
We umeamua tu kuchangamasha jukwa

Au ku-seek attention

Ila tambua kuwa wanawake ni kama
psychopaths

Kula chuma hiki kwanza:
Kwanini umenitukana Kwanza?
Una shida na wanawake sio bure
 
Wanalalamika vizuri tu na ndio wanaongoza kulalamika. Huku sababu wengi ni wanaume ndio maanamada nyingi unaona ni za wanaume
 
Mwanaume anaweza vumilia ndoa na mwanamke asiye na Kazi maisha yake yote na ndoa ikawa na amani.

Nitajie ndoa ambayo mwanamke amevumilia miaka 10 na mwanaume asiye na kazi na wakaishi Kwa amani
Kiasili mwanamke ni mtu mbinafsi , na usijejidanganya kua kuna vitu utamfanyia aridhike haipo hiyo , ukishalijua hilo utampa ziada iliobaki ili hata mbele ya safari usiumie kuwekeza kwake,
 
Mwanaume anaweza vumilia ndoa na mwanamke asiye na Kazi maisha yake yote na ndoa ikawa na amani.

Nitajie ndoa ambayo mwanamke amevumilia miaka 10 na mwanaume asiye na kazi na wakaishi Kwa amani
Mbona wanaume wengi Tu wanaishi bila kazi na wake zao wanatumia familia vizuri Tu
Hyo asilimia chache ndo unafanya conclusion?
 
Ukisoma mada nyingi humu wanaume wengi wanalalamika kuhusu ndoa zao

Msije mkadhani wanawake ni wabaya lah

Wanawake wengi wanasulubika vibaya mno sema hatulalamiki.

Tumeumbwa kuvumilia

Pia tunajua jinsi ya kupambana na changamoto

All in all mnaopitia changamoto za ndoa poleni sana.tafuta Amani ya moyo wako maisha ni haya haya
Ni wavumilivu au huwa mnakosa steps na kwa kuelekea?
 
Ukisoma mada nyingi humu wanaume wengi wanalalamika kuhusu ndoa zao

Msije mkadhani wanawake ni wabaya lah

Wanawake wengi wanasulubika vibaya mno sema hatulalamiki.

Tumeumbwa kuvumilia

Pia tunajua jinsi ya kupambana na changamoto

All in all mnaopitia changamoto za ndoa poleni sana.tafuta Amani ya moyo wako maisha ni haya haya
Mnavumilia kwa sababu ya hela tu kukiwa hamna hela mtatangaza mtaa mzima
 
Back
Top Bottom