Wanawake wengi wa Tanzania wanapenda kuolewa wakishakuwa wamechoka

Wanawake wengi wa Tanzania wanapenda kuolewa wakishakuwa wamechoka

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Huu ndio utafiti nilioufanya mabinti wengi wanapenda kuolewa tayari wakishakuwa wamekula ujana wao tayari hapo ndio watakuwa tayari kutulia katika ndoa umri wa miaka ya miaka 18-25 akikubali kuolewa na wewe imembidi tu kwa kushinikizwa na wazazi ukiwa uchumi upo vizuri.

Ila moyoni wengi wanapenda kuutumia uzuri wao kwanza.
 
Huu ndio utafiti nilioufanya mabinti wengi wanapenda kuolewa tayari wakishakuwa wamekula ujana wao tayari hapo ndio watakuwa tayari kutulia katika ndoa umri wa miaka ya miaka 18-25 akikubali kuolewa na wewe imembidi tu kwa kushinikizwa ila moyoni wengi wanapenda kuutumia uzuri wao
ephen_ Ya kweli haya.
 
Huu ndio utafiti nilioufanya mabinti wengi wanapenda kuolewa tayari wakishakuwa wamekula ujana wao tayari hapo ndio watakuwa tayari kutulia katika ndoa umri wa miaka ya miaka 18-25 akikubali kuolewa na wewe imembidi tu kwa kushinikizwa ila moyoni wengi wanapenda kuutumia uzuri wao
Ambatanisha na uthibitisho mkuu
 
1000011282.jpg
 
Huu ndio utafiti nilioufanya mabinti wengi wanapenda kuolewa tayari wakishakuwa wamekula ujana wao tayari hapo ndio watakuwa tayari kutulia katika ndoa umri wa miaka ya miaka 18-25 akikubali kuolewa na wewe imembidi tu kwa kushinikizwa na wazazi ukiwa uchumi upo vizuri

ila moyoni wengi wanapenda kuutumia uzuri wao kwanza
Duuu
 
Back
Top Bottom