Wanawake wengi wa Tanzania wanapenda kuolewa wakishakuwa wamechoka

Wanawake wengi wa Tanzania wanapenda kuolewa wakishakuwa wamechoka

Tunauza wanawake wa kuolewa Bei nafuu, huyu anauzwa milioni 12 pamoja na mahari yake. 😃😃😃
794c313695098dbda306a7c0e318c217.jpg
 
Huu ndio utafiti nilioufanya mabinti wengi wanapenda kuolewa tayari wakishakuwa wamekula ujana wao tayari hapo ndio watakuwa tayari kutulia katika ndoa umri wa miaka ya miaka 18-25 akikubali kuolewa na wewe imembidi tu kwa kushinikizwa na wazazi ukiwa uchumi upo vizuri

ila moyoni wengi wanapenda kuutumia uzuri wao kwanza
Koo za simba hatuna mpango huo kabisa, sisi tukimaliza miaka ya kisheria ya kuingia utu uzima na ndoa hapo hapo.

Tena hayo ni siku hizi, zamani wakishabalehe tu na ndoa hapo hapo, hatupendi ujinga sisi.
 
Back
Top Bottom