Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we siku anzisha uzi andika vigezo vyako na vya unaemtaka,,,watakuja tu na utapata Mungu ni mwemaBado sijapata mnisaidie kutafuta
Yes Legend! 30 to be specific! 😂Na wewe umeshakuwa mkubwa sasa🤣🤣🤣
Yatawashinda vijana! 😂😂Ndio maana vijana tunatafuta mishangazi.
Utamu plusKwahiyo nikifikisha 30s nitasikia utamu og? min -me
Humu JF sio pazuri.we siku anzisha uzi andika vigezo vyako na vya unaemtaka,,,watakuja tu na utapata Mungu ni mwema
Yatushinde hvyhvy ila nani hataki utelezi plus plus.Yatawashinda vijana! 😂😂
Mwagia asaliiiTunauza wanawake wa kuolewa Bei nafuu, huyu anauzwa milioni 12 pamoja na mahari yake. 😃😃😃
View attachment 3057969
Kwani huo uzuri ni wako wewe au wao?Huu ndio utafiti nilioufanya mabinti wengi wanapenda kuolewa tayari wakishakuwa wamekula ujana wao tayari hapo ndio watakuwa tayari kutulia katika ndoa umri wa miaka ya miaka 18-25 akikubali kuolewa na wewe imembidi tu kwa kushinikizwa na wazazi ukiwa uchumi upo vizuri
ila moyoni wengi wanapenda kuutumia uzuri wao kwanza
what be juju be that ?sheeeeiiiiiiilaaaa,,we uzuliii wewe
I remember nothing,,,ila nmekua nkiskia kwenye clipswhat be juju be that ?
Sema kuoa mwanamke wa Jf ni changamoto!! Yaani mtu kashajifunza ubishi wa Faiza Foxy, anajenga hoja kama Pasco , anajua uchawi kama Mshana Jr, ana sifa kama Genta, kiherehere kama John, chawa kama Lukas mwoshambwa........ list ni ndefu... mzinzi kama Rick Boy na vijana wa masikhala...kwani kuchoka ni kuanzia miaka mingap, nisje jichanganya,by the way nshachoka
mwenye ataka kuniwowa akuje.
Aseeee nmecheka jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂,,,u made my nightSema kuoa mwanamke wa Jf ni changamoto!! Yaani mtu kashajifunza ubishi wa Faiza Foxy, anajenga hoja kama Pasco , anajua uchawi kama Mshana Jr, ana sifa kama Genta, kiherehere kama John, chawa kama Lukas mwoshambwa........ list ni ndefu... mzinzi kama Rick Boy na vijana wa masikhala...
Mmmmmmmmmmmmmmmmaeeee hiyo ndoa ikidumu zaidi ya miezi 6 mwanaume atakua kavumilia mengi
Mwoshambwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Sema kuoa mwanamke wa Jf ni changamoto!! Yaani mtu kashajifunza ubishi wa Faiza Foxy, anajenga hoja kama Pasco , anajua uchawi kama Mshana Jr, ana sifa kama Genta, kiherehere kama John, chawa kama Lukas mwoshambwa........ list ni ndefu... mzinzi kama Rick Boy na vijana wa masikhala...
Mmmmmmmmmmmmmmmmaeeee hiyo ndoa ikidumu zaidi ya miezi 6 mwanaume atakua kavumilia mengi
So kumbe Ni ukweliiWe bhana we,miaka uliyoitaja hata kufika kileleni ni shida Ila kuanzia miaka 30s ...jamani jamani ile kitu ni tamu kweli...Daah! Hii huchangia Sana wanawake kutaka kuwa nawenza wao ndani.....
Maoni yangu ......
Njozi njema baby... love youAseeee nmecheka jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],,,u made my night