Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
ephen_ Ya kweli haya.Huu ndio utafiti nilioufanya mabinti wengi wanapenda kuolewa tayari wakishakuwa wamekula ujana wao tayari hapo ndio watakuwa tayari kutulia katika ndoa umri wa miaka ya miaka 18-25 akikubali kuolewa na wewe imembidi tu kwa kushinikizwa ila moyoni wengi wanapenda kuutumia uzuri wao
Ambatanisha na uthibitisho mkuuHuu ndio utafiti nilioufanya mabinti wengi wanapenda kuolewa tayari wakishakuwa wamekula ujana wao tayari hapo ndio watakuwa tayari kutulia katika ndoa umri wa miaka ya miaka 18-25 akikubali kuolewa na wewe imembidi tu kwa kushinikizwa ila moyoni wengi wanapenda kuutumia uzuri wao
vipi wewe umepata tayari?"Wanapenda kutumia uzuri kwanza ..."
Kama hana huo uzuri.?
Kupata nini Ms.vipi wewe umepata tayari?
Miaka ya nyuma 2000 kurudi nyuma haikuwa ni habari kubwa mwanaume kuoa mwanamke aliyezalia nyumbani walihesabika ni kama wajane wanahitaji msaadaKimsingi unachotaka kusema ni kwamba maboya wengi wanaoa wanawake waliotumika sana ama?
Ubaya Ubela tu...🏃🏿♂️
View attachment 3057964
Young ladies kufika kileleni ni shida?We bhana we,miaka uliyoitaja hata kufika kileleni ni shida Ila kuanzia miaka 30s ...jamani jamani ile kitu ni tamu kweli...Daah! Hii huchangia Sana wanawake kutaka kuwa nawenza wao ndani.....
Maoni yangu ......
Kwahiyo nikifikisha 30s nitasikia utamu og? min -meWe bhana we,miaka uliyoitaja hata kufika kileleni ni shida Ila kuanzia miaka 30s ...jamani jamani ile kitu ni tamu kweli...Daah! Hii huchangia Sana wanawake kutaka kuwa nawenza wao ndani.....
Maoni yangu ......
Mambo mengi Sana mkuu....kufika kileleni ni wachache Sana....jiulize kwanini vijana sikuhizi wanabeba wamama...wamegundua ndo kwenye uterezi halisiYoung ladies kufika kileleni ni shida?
Ndio naisikia hii.
DuuuHuu ndio utafiti nilioufanya mabinti wengi wanapenda kuolewa tayari wakishakuwa wamekula ujana wao tayari hapo ndio watakuwa tayari kutulia katika ndoa umri wa miaka ya miaka 18-25 akikubali kuolewa na wewe imembidi tu kwa kushinikizwa na wazazi ukiwa uchumi upo vizuri
ila moyoni wengi wanapenda kuutumia uzuri wao kwanza
muanamukeKupata nini Ms.