ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Hapo nyumbani upo peke yako?🤔ephen_ na Deeboyfrexh mbona mnafurahia shida za watu au akili zenu sio nzuri . Mtu kapata shida mnafurahia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo nyumbani upo peke yako?🤔ephen_ na Deeboyfrexh mbona mnafurahia shida za watu au akili zenu sio nzuri . Mtu kapata shida mnafurahia
Je wewe uko pekee yakoHapo nyumbani upo peke yako?🤔
Nimekuuliza sababu naona umeniita kiujanja nije tuchit chatJe wewe uko pekee yako
Mie ke sasa tuchart kuhusu wachumbaNimekuuliza sababu naona umeniita kiujanja nije tuchit chat
Hapo kwako upo mpweke?🤔
Unanichosha sweet akeeMie ke sasa tuchart kuhusu wachumba
Kwanini unafurahia kero na shida za wengineUnanichosha sweet akee
Kama kero ya nani nimeifurahiaKwanini unafurahia kero na shida za wengine
YanguKama kero ya nani nimeifurahia
NisameheYangu
Nimeshakusamehe saa nyingi sanaNisamehe
Atakujaje nahuku PM yako umeifungakwani kuchoka ni kuanzia miaka mingap, nisje jichanganya,by the way nshachoka
mwenye ataka kuniwowa akuje.
Sendoff yako iliendaje?Hawakatai
Isipokuwa hawajawapata wa kuwaoa.
Kuolewa ni bahati na hawajui thamani ya mwanamke huzidi kushuka pindi umri unavopanda bila kuolewa!
Huu ndio utafiti nilioufanya mabinti wengi wanapenda kuolewa tayari wakishakuwa wamekula ujana wao tayari hapo ndio watakuwa tayari kutulia katika ndoa umri wa miaka ya miaka 18-25 akikubali kuolewa na wewe imembidi tu kwa kushinikizwa na wazazi ukiwa uchumi upo vizuri.
Ila moyoni wengi wanapenda kuutumia uzuri wao kwanza.
wanachoka hadi 0716?Huu ndio utafiti nilioufanya mabinti wengi wanapenda kuolewa tayari wakishakuwa wamekula ujana wao tayari hapo ndio watakuwa tayari kutulia katika ndoa umri wa miaka ya miaka 18-25 akikubali kuolewa na wewe imembidi tu kwa kushinikizwa na wazazi ukiwa uchumi upo vizuri.
Ila moyoni wengi wanapenda kuutumia uzuri wao kwanza.
Umejuaje 😂Atakujaje nahuku PM yako umeifunga
Kuna mabinti flani hivi tena wawili waliokuwa kwenye peak ya uzuri wao, in their early 20's hapo wamemaliza form 4, nliwatongoza wakakataa, cha ajabu mmoja akaenda kuzaa na mume wa mtu, mwingine akaenda kuzaa na bodaboda mvuta bangi tena mwenye mangeu usoni, sasa nkabaki kujiuliza ni uchawi au, ni heri wangezaa hata na vijana wengine wa maana pale mtaani kwetu Dr criminalMwanamke kwenye miaka 18 mpaka 24 hivi 25 mpaka 26 ananata kichizi SMS havijib
Wakigongo hiyo 26, 27 vinaanza kujitongozesha, kanisani sana, nimeokoka nyingi😂
Na mbaya zaidi wanaitumia hiyo pick ya usichana wao na wajinga wajinga tu hawana future, watu ambao hata wakiwapa mimba wataishia kuwa single mother, then. Baadae ndo wewe waje wakupumzikie😂
Nataka unione criminal sitaki tena ya kuchezeana, f**ck you mage hapa nakutia tu nteanda kuona vile vibichi ambavyo haviitumii pick ya urembo wao vibaya😂
Dada mbona umenicheka na hii comment yangu😁, Yani situation nlioielezea ni sawa na wewe umkatae Eric shigongo halafu umkubali kingwendu, na sio kwangu tu, wanaume wengi hio hali huwakuta Ms RKuna mabinti flani hivi tena wawili waliokuwa kwenye peak ya uzuri wao, in their early 20's hapo wamemaliza form 4, nliwatongoza wakakataa, cha ajabu mmoja akaenda kuzaa na mume wa mtu, mwingine akaenda kuzaa na bodaboda mvuta bangi tena mwenye mangeu usoni, sasa nkabaki kujiuliza ni uchawi au, ni heri wangezaa hata na vijana wengine wa maana pale mtaani kwetu Dr criminal
mtaani yanatokea sana kwaio nikakumbuka tu,,hata sijakucheka bossDada mbona umenicheka na hii comment yangu😁, Yani situation nlioielezea ni sawa na wewe umkatae Eric shigongo halafu umkubali kingwendu, na sio kwangu tu, wanaume wengi hio hali huwakuta Ms R
Theory yangu ni kuwa nahisi kuna mapepo ambayo yanafanya watu wasifanye right choice of marriage partner.mtaani yanatokea sana kwaio nikakumbuka tu,,hata sijakucheka boss