Wanawake wengi wa Tanzania wanapenda kuolewa wakishakuwa wamechoka

Wanawake wengi wa Tanzania wanapenda kuolewa wakishakuwa wamechoka

Huu ndio utafiti nilioufanya mabinti wengi wanapenda kuolewa tayari wakishakuwa wamekula ujana wao tayari hapo ndio watakuwa tayari kutulia katika ndoa umri wa miaka ya miaka 18-25 akikubali kuolewa na wewe imembidi tu kwa kushinikizwa na wazazi ukiwa uchumi upo vizuri.

Ila moyoni wengi wanapenda kuutumia uzuri wao kwanza.

Wakiwa hot wanakula vichwa kwanza.
 
Huu ndio utafiti nilioufanya mabinti wengi wanapenda kuolewa tayari wakishakuwa wamekula ujana wao tayari hapo ndio watakuwa tayari kutulia katika ndoa umri wa miaka ya miaka 18-25 akikubali kuolewa na wewe imembidi tu kwa kushinikizwa na wazazi ukiwa uchumi upo vizuri.

Ila moyoni wengi wanapenda kuutumia uzuri wao kwanza.
wanachoka hadi 0716?
 
Mwanamke kwenye miaka 18 mpaka 24 hivi 25 mpaka 26 ananata kichizi SMS havijib

Wakigongo hiyo 26, 27 vinaanza kujitongozesha, kanisani sana, nimeokoka nyingi😂

Na mbaya zaidi wanaitumia hiyo pick ya usichana wao na wajinga wajinga tu hawana future, watu ambao hata wakiwapa mimba wataishia kuwa single mother, then. Baadae ndo wewe waje wakupumzikie😂

Nataka unione criminal sitaki tena ya kuchezeana, f**ck you mage hapa nakutia tu nteanda kuona vile vibichi ambavyo haviitumii pick ya urembo wao vibaya😂
Kuna mabinti flani hivi tena wawili waliokuwa kwenye peak ya uzuri wao, in their early 20's hapo wamemaliza form 4, nliwatongoza wakakataa, cha ajabu mmoja akaenda kuzaa na mume wa mtu, mwingine akaenda kuzaa na bodaboda mvuta bangi tena mwenye mangeu usoni, sasa nkabaki kujiuliza ni uchawi au, ni heri wangezaa hata na vijana wengine wa maana pale mtaani kwetu Dr criminal
 
Kuna mabinti flani hivi tena wawili waliokuwa kwenye peak ya uzuri wao, in their early 20's hapo wamemaliza form 4, nliwatongoza wakakataa, cha ajabu mmoja akaenda kuzaa na mume wa mtu, mwingine akaenda kuzaa na bodaboda mvuta bangi tena mwenye mangeu usoni, sasa nkabaki kujiuliza ni uchawi au, ni heri wangezaa hata na vijana wengine wa maana pale mtaani kwetu Dr criminal
Dada mbona umenicheka na hii comment yangu😁, Yani situation nlioielezea ni sawa na wewe umkatae Eric shigongo halafu umkubali kingwendu, na sio kwangu tu, wanaume wengi hio hali huwakuta Ms R
 
Dada mbona umenicheka na hii comment yangu😁, Yani situation nlioielezea ni sawa na wewe umkatae Eric shigongo halafu umkubali kingwendu, na sio kwangu tu, wanaume wengi hio hali huwakuta Ms R
mtaani yanatokea sana kwaio nikakumbuka tu,,hata sijakucheka boss
 
mtaani yanatokea sana kwaio nikakumbuka tu,,hata sijakucheka boss
Theory yangu ni kuwa nahisi kuna mapepo ambayo yanafanya watu wasifanye right choice of marriage partner.

Mfano kwa nyie wanawake, kuna mwanaume ukimuona tu utajua huyu he's husband material, sawa sio handsome sura yake ya kawaida, hana hela bado anajitafta, ila kwa personality yake, anavyoongea, na matendo, utaona huyu anaweza kuwa baba wa familia, wanawake wachache wamekuwa na akili ya kuweza kuwatrap wanaume wa aina iyo na ndoa zimedumu miaka 30+ (though wanawake hawakuwapenda wanaume hao), kama kwa bahati mbaya hujawahi tongozwa na mwanaume husband material that's another case.

Sasa binti tena ukiwa na miaka (16-25) katika umri huu wewe ni almasi machoni kwa wanaume, soko lako liko juu, utajenga future gani na mume wa mtu, utajenga future gani na kibabu Cha miaka 60+ utajenga future gani na mla mirungi anaeshinda kijiweni na kwenye mabaa 24/7..

Akili za kugundua na kuwaona wanaume wema (husband materials) wengi wenu mnazipata mkishafika miaka 28+ 😁 uzuri mm binafsi si boya, nikiona mdada mzuri ananishobokea namuuliza umri, lazma namba yake igote kwenye 28+ hapo mm najua eewwaaah hamna kitu hapa, sipigwi kiboya Ms R
 
Back
Top Bottom