Na ndipo hapo mnapokosea sasa na ni WANAUME tu ndiyo wanaoelewa hili ila WAVULANA hamuwezi kuelewa! Anyway we baki na huyo mtumwa wako ambaye unataka kila unachomuambia ajibu "ndiyo mume wangu" hata kama siyo kizuri au hakifurahii (yes huyo ni mtumwa kwa kivuli cha mke)!Mwanaume, ukiona mwanamke wako anakusikiliza yaani we ndio msemaji ye msikilizaji(kukuelewa), kuheshimu huyo mwanamke usimpoteze..
Mwanamke, ukiona mumeo hakusikilizi kila unapotoa maelekezo yeye hafuati, achana nae katafute anayefuata maagizo yako
...ila na sisi waowaji tunatakiwa kujitathmini,kuna sehemu huwa tunakosea.
Daah....!!Kumbe siku moja moja huwa una Akili enh
Nashukuru mkuu.Watu kama nyie kila mahali mpo. Mnakuaga na busara sana. Big up
Ila na weww unaweza kukuta una maswahibu chungu nzima ktk ndoa
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Wewe Umeongea pointKunayo shida mahali, ila kila upande unaona wenzake ndo wana matatizo zaidi. Matatizo ya ndoa hayasolviwi kwa Debate. Na nani mwenye matatizo zaidi ? Hamna jibu la moja kwa moja na la jumla, isipokuwa ni swala la pamoja ambapo( collective responsibility )misingi fulani ambayo haikuzingatiwa tangu mwanzo wa maisha ya ndoa, na kuendelezwa inavyopaswa, inaweza kuleta mpasuko, either kwa sura ya mke au kwa sura ya mume.
Wengi hudhani kazi ya kupendana inaishia pale mnapofunga ndoa, na kuacha kuyaendeleza yale yaliyowafanya wafikie hatua hiyo. Matokeo yake wanaanza kuvuna mipasuko ndani wanatafuta mchawi nani. Kumbe wameacha kuishi kama watu wenye future pamoja bali watu wanaolea pamoja.
Ngoja niishie hapa kwa leo, nawasalimu kwa Jamhuri ya Muungano wa Jf[emoji1607]
Habari za muda huu wadau,
Nimekuja na kichwa hichi Cha habari, kutokana na juzi Kati tulikuwa na washkaji Kama wanne hivi wote tupo kwenye ndoa, kasoro mmoja wetu, single boi.
Tukajikuta katika mada ya kushare changamoto za ndoa zetu kila mtu kwa muda wake,
Katika kushare experience hizo nikagundua mambo yafuatayo;
Wanawake wengi wakishaingia kwenye ndoa wanabadilika Sana hasa kitabia, mwanzo anaweza kuwa alikuwa mpole, mcheshi, utulivu wa kutosha, heshima debe. Akishaingia tu anataka akupande kichwa ukorofi unaanza, maneno yanaanza, kesi zisizo na msingi, madharau, kutokujishusha na kadhalika..[emoji855][emoji855]
Hii nimekuja kugundua inawagusa Sana wanaume wengi tuliooa kutoka na changamoto hizo, wengi wao wamefikia hatua ya kuwa na kamchepuko at least apunguze mawazo kidogo angalau, wengine kujikuta akitoka zake job anaingia bar kuzuga mpaka mida fulan akirudi akute wife ameshalala.
Wanawake wengi kwenye ndoa Wana tabia ya kutokujiamini, muda wote utakuta anakuhisi tu kwamba una mchepuko hata Kama huna, atang'ang'ana na simu yako ili kutafuta kisichopo ili mradi tu umnyime aongee au ampe akute hata salamu ya kike tu mparangane.
Mwanamke ndoani siku hizi kujishusha hakupo ukipanda naye anapanda, Tena zaidi anakwambia ukinigusa narudi kwetu na anaweza ondoka vile vile kwa jeuri na asirudi. (Hilo mshikaji wangu mmoja lilimkuta, Ila baadaye mwanamke akirudi mwenyewe)..
Ndoa nyingi zimekuwa zikivunjika kwasababu Kama hizi, mafahali wawili kuishia zizi moja haijawahi tokea,.
Mwanamke aliletwa duniani kuja kumsaidia mume wake majukumu, kumuheshimu, kumtii n.k (hata vitabu vya dini vinasisitiza hilo)
Hii jeuri wanawake majumbani wanaitoa wapi siku hizi, sometimes unakuta jamaa mpole kweli lakini bado atakukoroga kichwa akae hapo juu..
Wanaume tunaogopa kuwahi majumbani kupumzika inabidi kunazuga bar, kwa washkaji, vibanda umiza, pengine kuchepuka kabisa( maana hata ratiba ya tendo la ndoa unapangiwa) ili mradi muda uende ukifika tu kula kulala..
Njoo tushare experience hapa na kubadilisha mawazo [emoji41][emoji41]
No offence[emoji124][emoji124]
Nashindwa kusoma maoni yote lakini nilichogundua kwako mkuu zingatia hata
Hakuna ndoa isiyo na changamoto lakini kama umeamua kuoa inamana huo ni ubavu wako,kwanini unaogopa mkeo kushika simu yako? Kuna kitu gani mpaka unaogopa?
Yan kitendo tu cha kuogopa tayari nae anashindwa kukuamini ikishafika hatua ya kutoaminiana basi kifuatacho ni kutafuta njia ya kujipoza. Maisha ya ndoa hayataki mambo ya chinichini.
Kuwa huru na mwenzako nae awe huru kwako tumia muda wako wa ziada kuwa nae,ukimtenga sana atakuwa na wasi was kuwa una mwingine huo ndio udhaifu wao. Wanawake wako tayari hata usiende kazini ushinde nae ndani tu. Usione kuwa unabanwa ila ni wajibu.
Ndoa ngumu sana kama utaichukulia poa.
KWA WANAWAKE: Tambue kabisa wanaume wanapenda heshima,hata kama humpendi lakini ukimuheshimu mumeo atakujali sana, jitahidini kutokutaka kupindua madaraka ya nyumbani, elewa mume ni kichwa lazma uwe chini yake ukilazimisha vibao vinaweza kukuhusu au kutengana.
Unaandika.kama umesimuliwa na MimiHabari za muda huu wadau,
Nimekuja na kichwa hichi Cha habari, kutokana na juzi Kati tulikuwa na washkaji Kama wanne hivi wote tupo kwenye ndoa, kasoro mmoja wetu, single boi.
Tukajikuta katika mada ya kushare changamoto za ndoa zetu kila mtu kwa muda wake,
Katika kushare experience hizo nikagundua mambo yafuatayo;
Wanawake wengi wakishaingia kwenye ndoa wanabadilika Sana hasa kitabia, mwanzo anaweza kuwa alikuwa mpole, mcheshi, utulivu wa kutosha, heshima debe. Akishaingia tu anataka akupande kichwa ukorofi unaanza, maneno yanaanza, kesi zisizo na msingi, madharau, kutokujishusha na kadhalika..[emoji855][emoji855]
Hii nimekuja kugundua inawagusa Sana wanaume wengi tuliooa kutoka na changamoto hizo, wengi wao wamefikia hatua ya kuwa na kamchepuko at least apunguze mawazo kidogo angalau, wengine kujikuta akitoka zake job anaingia bar kuzuga mpaka mida fulan akirudi akute wife ameshalala.
Wanawake wengi kwenye ndoa Wana tabia ya kutokujiamini, muda wote utakuta anakuhisi tu kwamba una mchepuko hata Kama huna, atang'ang'ana na simu yako ili kutafuta kisichopo ili mradi tu umnyime aongee au ampe akute hata salamu ya kike tu mparangane.
Mwanamke ndoani siku hizi kujishusha hakupo ukipanda naye anapanda, Tena zaidi anakwambia ukinigusa narudi kwetu na anaweza ondoka vile vile kwa jeuri na asirudi. (Hilo mshikaji wangu mmoja lilimkuta, Ila baadaye mwanamke akirudi mwenyewe)..
Ndoa nyingi zimekuwa zikivunjika kwasababu Kama hizi, mafahali wawili kuishia zizi moja haijawahi tokea,.
Mwanamke aliletwa duniani kuja kumsaidia mume wake majukumu, kumuheshimu, kumtii n.k (hata vitabu vya dini vinasisitiza hilo)
Hii jeuri wanawake majumbani wanaitoa wapi siku hizi, sometimes unakuta jamaa mpole kweli lakini bado atakukoroga kichwa akae hapo juu..
Wanaume tunaogopa kuwahi majumbani kupumzika inabidi kunazuga bar, kwa washkaji, vibanda umiza, pengine kuchepuka kabisa( maana hata ratiba ya tendo la ndoa unapangiwa) ili mradi muda uende ukifika tu kula kulala..
Njoo tushare experience hapa na kubadilisha mawazo [emoji41][emoji41]
No offence[emoji124][emoji124]
Wanaume mnavyojikutaga malaika sasa, muwavurugeeee wake zenu then wakireact mnajikuta victims. Haya endeleeni kujazana ujinga.
watu wa aina yako sijui hata kama wanazaliwa miaka hii.Jamani jamani jamani mtusameheee jamani tusameheni na sisi ni binadamu..nyie mna madhaifu yenu nasi pia vivyo hivyo. Nadhani kuzaa kunyonyesha na majukumu ya familia na ulezi watt ni kitu kimoja kigumu sana. Nadhani kupitia hizi hatua kuna some hormones zinaisha au kuongezeka kupelekea tabia zetu zibadilike. Lakini wanawake wenzangu hakuna kitu kizuri kama kujishusha na kuomba msamaha mimi kuomba msamaha nipo vzr kwa sbb naweza kulipukaaa kama mtungi wa gas ila nikikaa na kutafakari naona kabisa namakosa nitaomba radhi aisee. Yani mm kugombana na Mr au kumletea kiburi na akakasirika huwa inanipa tabu sana yani nijiskia vibaya kama niko uchi so mara nyingi hukumbuka kuomba msamaha yaishe.
Siyo kweli.Ujanja wako mwanaume ni kipindi cha courtship tu maana mwanamke ndio anaomba kazi ila ukiisha mwingiza ndani yeye ndiye boss na wewe mwanaume ndiye kibarua. Ndio maana ukitaka kumuacha sheria zinamlinda ila wewe mwanaume zilikulinda kipindi hujamuingiza ndani. Hivyo basi furaha ya mwanaume huwa ya kipindi kifupi sana na mwanamke ya muda mrefu.
Comment bora kabisa ktk huu uzi.Unauondoa!!?
Na huu ubaya au uzuri tunaupima vipi!? Nani anasema huu ni uzuri au huu ni ubaya!?
Ndoa ni makubaliano ya kuzalisha kitu kipya (mwili mmoja) Mkiiendea na tabia zenu mlizotoka nazo huko makwenu haikati hata kona moja mnaishana.
Wanandoa haijalishi ni mume au mke.. wanapaswa kujenga mawasiliano na kuwa na interest to learn and know about the partner.. na kukubali na ku-commit kufanya mabadiliko when needed.
Sio mume ukae unasema tuu mke anafuata before you know it anachoka mnaishi kwa mazoea if you are lucky.. au mke naye anataka yeye pekee ndio asikilizwe (entitlement) take me as I am.. kwenye scenario hizo mkibahatika kuishi mtaishi kwa mazoea.. hakuna upendo hapo.. na hiyo ni upotevu wa muda.. its better mkaachana...
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app