Wanawake wengi wanaojivunia Uzuri wa Makalio wamejisahau kwenye Usafi wa Mwili: Wazingatie Manukato baada ya kuoga

Utafananisha vipi mwanamke ambae haendi kunywa mipombe bar na kubwabwaja kojo kila dakika kumi huku akiwa hajuwi kujisafisha na maji. Na mwanamke ambae yupo nymbani ksjistiri na anajuwa nini maana ya kujitoharisha, kulinda udhu wake na kujifusha japo mara moja kwa siku?

Hao ni tofauti kubwa sana.
 
Point nimechukua hii.
 
Najivunia Uislam wangu, kama kupopolewa Uislam usiogope hilo, haupopolewi mwembe usio na embe.

Uislam ni mwema sana, tunafundishwa usafi kuanzia tukiwa watoto wadogo.
Kwaiyo nyie ndo mnafaa tuwapige pipe?
 
Nitoe mfano wanawake vibonge baadhi wavivu wa kuoga mwili mzima na kujipaka sabuni ya kutosha na kukimwagia maji vizuri, pia sisi wanaume tunapomwaga kama kibonge hajamwaga akienda bafuni anaona hajachafuka zaidi ya kujisafisha kwa pupa chini kwenye dhahabu pesa, baadhi ya sababu, pia nadhani ubonge unahitaji ziada kudumisha usafi hasa mijasho
 
Uzinzi na uasherati ni uchafu. Usiukaribie.
 
sasa sie wenye allergies na hayo manukato tufanye nini wajameni
 
Ni kutokuwa mvivu wa kuoga kikubwa usafi Manukato ni ziada tu, keeping body clean
asante sana,,m hata njiani nkipishana na mwenye manukato lazma nizibe pua,,nitaumwa kichwa balaa
 
Ila watoto wa kike wa kislam ni wasafi bana wacha zako
 
Ila watoto wa kike wa kislam ni wasafi bana wacha zako
Kuna kitu labda hujakielewa, kuhusu swala la usafi ni wapi nimelipinga? Ninachojaribu kumweleza ni kuhusu maandiko yake na watu jinsi wanavyomkashifu.
 
Huwezi na hautoweza kumpata nwanamke anaefata Uislam akafanya uasherati na uzinzi.

Nakushangaa wewe hujawa Muislam mpaka leo.
Unataka wenzako wawe magaidi
Kiboko yao Yao netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe
 
Namuunga mkono mleta mada usafi wa mwili ni muhimu, mimi huwa nikisikia harufu kali hamu huwa inaisha kabisa, nikiuchomoa sirudi.
 
Yaani umelazimisha mada hadi umeingiza kwenye uislamu, mada ya ubonge na uislamu wapi na wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…