Wanawake wengine wanawezaje kumaintain miili yao baada ya kujifungua?

Njaa haiishi bila plates mbili za wali 😀
Mungu anitie nguvu kwakweli
Kawaida mamy. Ni ngumu ila jitahidi tu. Mi nilifanikiwa kutokana na support ya mtu wangu wa karibu. Ikafikia hatua nikawa napakuliwa chakula "kiduchu" ili kuniepusha nisile sana. Nikaambiwa naweza kula hata baada ya nusu saa japo sikuweza tena kula ndani ya huo mda mfupi. Baadae nikazoea. Nikila kidogo natosheka. Mwili ukawa vizuri.
 
Chakula kidogo matunda ya kutosha
 
Mimi nilipojifungua nilikua nimejaaa hatari ile week ya kwanza nyonyo,tumbo la uzazi nalo kulee. Ila from day one nilikua nakunywa mno majii mengi hata lita tatu na zaidi kwa siku na chakula ni ndizi ndizi tuu huwezi amini wiki ya tatu nilikua mdogo kila kitu kiliisha. So i hope maji mengi ni tiba muafaka na kula chakula kidogo haijalishi ni wanga au whatever.
 
Njia rahisi na natural Zaidi ni mazoezi ya tendo a ndoa na uzingatie ulaji wako, maana kuna wanawake wengine wanakuambia wako kwenye diet ila anakunywa debe zima la bia na kitimoto kila siku.
 
Njia rahisi na natural Zaidi ni mazoezi ya tendo a ndoa na uzingatie ulaji wako, maana kuna wanawake wengine wanakuambia wako kwenye diet ila anakunywa debe zima la bia na kitimoto kila siku.
Mazoezi ya tendo la ndoa?? Hebu fafanua mkuu
 


Usiwe na wasiwasi utapata mume anayependa ziwa kubwa. Kumbuka kila mtu ana mtuwe aliyepangiwa na Mungu.
 
Tuanzie hapa, wewe ni single mom au married??
 
sawa nakula sana yani nakula ile mbaya, tatizo mwili nao huooo, wengine huwa hawali nataka kujua hapo kwanini hawaongezeki
wanakula kawaida sio into large quantity,kina mama wengi husingizia wananyonyesha so nao hupakia kweli kweli,mwili hauhitaji vyakula vyiingi sana balikwa kiasi na ndo maana kila kinachozidi kinahifadhiwa kama mafuta mwilini haijarishi ulikula mafuta au wanga au protein
 
Mie hata sisingizii kwakweli kwa nnavochukia unene plus kitambi huwa nipo tayari kushinda hata njaa , wiki mbili za mwanzo nlikua nakula kidunchu mwili fresh maziwa hakuna sasa si kumtesa Mtoto
 
Oh jamani Eve, pole kwa changamoto hiyo ya mwili. Kwa ushauri kama mazoezi ni kitu kigumu sana kwako jaribu diet, badilisha mfumo wako wa ulaji ikiwa ni pamoja na kupunguza portion ya chakula, mwili huhitaji kiasi kidogo tu cha chakula uweze kusavaiv, pia (hapa ni kama mtoto ameshafikisha miezi sita kama bado kwa kweli subiri tu)
 
Mwenzio kazaa mara tano, na anajitunza mwenyewe;
Mi mwenyewe nipo fresh tu bi mkubwa, na najua toto akikua ntarudi kawaida ila kwa sasa tu siupendi unene....
Na mpango wangu ni watano kama zari teh
 
Hakuna mchawi mwingine zaidi ya vyakula unavyokula.... chakula kinaweza kukukondesha na pia chakula kinaweza kukunenepesha.... Last month mange kimambi alitoa somo la diet in case kama mtu anataka kujikondesha
 
Yes utapata with lots of fluids kama juice, uji wa lishe wa maziwa na blue band, chai ya viungo, supu ya kuku, nyama, samaki etc
Ahsante ngoja nihamie huku matikiti matatu kwa siku teh
 
Ugali, wali, thermos ya uji 😀
Mazoezi nitadanganya labda nikianza kwenda job ntakua natembea
 
Njia rahisi na natural Zaidi ni mazoezi ya tendo a ndoa na uzingatie ulaji wako, maana kuna wanawake wengine wanakuambia wako kwenye diet ila anakunywa debe zima la bia na kitimoto kila siku.
Wakati wa kunyonyesha nyg zinakua mbali hilo tendo lipumzike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…