Wanawake wengine wanawezaje kumaintain miili yao baada ya kujifungua?

Wanawake wengine wanawezaje kumaintain miili yao baada ya kujifungua?

Sometimes ni homoni za mtu husika mi Sina diet wala mazoezi yao hayo lkn nikibeba ujauzito mpk kujifungua Niko na mwili mzuri tu na ninakunywaga uji sana na supu ya kutosha kwa siku napeleka chupa tatu za Lita tatu za uji na wala sikuwa nafumuka km bouncer
 
Hongera kwa kuwa na mtoto.... Kna watu humu nilijua hawana hata watoto daaaah
 
Mazoezi ya tendo la ndoa?? Hebu fafanua mkuu


Tendo la ndoa ni bonge la exercise na unashauriwa kufanya mara 3 kwa wiki. Ukifanya hivyo na uki-diet ipasavyo kitambi chako na nyama zembe mwilini vitapungua within months.
 
Shost aliniambia yeye alikuwa anakula nyama mboga na matunda nafaka ni toast tu, asubuhi toast yai la kuchemsha na matunda kubao

Saa nne oaks la kuku wa kuchoma na mboga

Mchana supu toast kipande kimoja na matunda

Saa kumi toast na parachichi

Jioni supu tena
duh hio menyu ya siku mbona ni mtaji wangu kabisa
 
Mi nakulaga
Saa 12 Uji
Saa 4 Juice/Matunda
Saa 7 ndizi vilizochemshwa na mbogamboga
Saa 10 Uji
Saa2 ndizi na mbogamboga
 
asilimia kubwa ya miili inasababishwa na lishe, wanga kupitiliza na vyakula vyenye kukari nyini pia kuna hili la kula mara kwa mara ambalo hupelekea insulini kuwa juu wakati wate ambako hupelekea mafuta kuhifadhiwa kwawingi na hayawezi kutumika na ndo huleta miili mikubwa na uzito
 
kula tu vizuri wkati wa kunyonyesha mtoto akishaanza kuchanganya vyakula anza kula vyakula visivyo na wanga na mafuta kwa wingi,,,
kitaalamu mafuta hayahifadhiwi ila sukari ndo inabadilishwa kwenda kuwa mafuta ili ihifadhiwe katika mwili, ila wanga inachangia kwa sehemu kubwa
 
kwanini ule "ile mbaya" kula kiasi bwana,,mimi nikiwa mzazi sinenepi japo maza mkwe anajituma lakini nazani heka heka za mtoto zinanifanya nisnenepe kiivo...ila nikitoka ndo naanza kunenepa nikishaona ivo naanza kubadili mfumo wa kula
we umefanikiwa kujua chanzo cha unene ndo maaana unashinda vita ya unene
 
Hahaaa poleee, we kama huwezi mazoezi nenda kamtukane HR akuandikie don't pay ya miezi minne...usipopungua nitafute nikupe mbinu nyingineee (jokin)
Kuna wengine hawapungui ng'o
Kuna best yangu ni kibonge mie naigiza
Alipata majanga nikamwambia safari hii lazima upungue
Analala empty ila hakupungua na sasa hivi ndiyo kawa mwili nyumba.

Mie kuanzia kesho naanza mazoezi upyaa
Kiuno changu kimeanza kupotea
 
njaa napata njaa kila dakika, na nikihisi njaa sitaki kuchelewa hata dakika, mwanzo nilijibana mwili ukawa poa tatizo Maziwa nayo ya mawazo nmeamua kula nimefumuka sipendi unene, nifanyeje nileje.
yawezekana aina ya vyakula wala ndo vyakutia njaa mara kwa mara, kula kiasi kikubwa vyakula vya protein
 
Mimi nimejifungua wiki2 tu mwili umerudi kama ulivyokua mwanzo hakuna kunenepa wala kuninginia tumbo na hakuna diet wala mazoezi mpaka sasa na nishashuhudia wengine pia....ni majaaliwa tu mwenzangu
Una muda gani baada ya kujifungua?
 
Back
Top Bottom