Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,994
- 8,696
kitaalamu wanasema kilamtu ana uimara na udhaifu so si kilamtu anaweza kuhimili vyakula ulavyo wewe, mngine akila tuu anakuwa temboSometimes ni homoni za mtu husika mi Sina diet wala mazoezi yao hayo lkn nikibeba ujauzito mpk kujifungua Niko na mwili mzuri tu na ninakunywaga uji sana na supu ya kutosha kwa siku napeleka chupa tatu za Lita tatu za uji na wala sikuwa nafumuka km bouncer