Sitaki nataka wana tabu sana! Napenda nimwambie demu ukweli na anielewe haraka.Kumbe kuna kukataliwa ili uje mara nyingine..?🤣🤣🤣 Kwahiyo kwa kifupi unapenda usumbufu yaani ile njoo kesho njoo kesho na wakati kumbe unataka
Possibilities ziko 2:1. Wanawake ambao unaweza kumtongoza leo, akakukataa, tena kwa mbwembwe, vijembe na kila aina ya kujidai hadi unaona wewe si loote kwake. Ukatulia zako ukaendelea na mambo yako. Ghafla baada ya miezi 6 au mwaka hivi anakuja kama mbwa aliyemwona chatu, mpole mnyenyekevu yaani yuko tayari kwa lolote. Bado natafuta huu ugonjwa unaitwaje eti. Maana naona hii tabia inazidi kushika kasi.
2. Mwanamke ambaye unamtokea anakukataa kwa mbwembwe zote. Alafu unamwona shosti yake anakutaka, mkaanzisha mahusiano yenu wawili. Sasa yule wa kwanza akishajua basi anaanza timbwili. Kwani wee mdada si ulinikataa? Unataka na wengine wanikatae? acheni wivu wa kijinga. Ukisema wa nini mwenzako anasema atampata lini.
Nigundue kama napendwa kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji850]Unasumbua mtu miezi unataka ugundue nini?
Zibadilike tuZama zimebadilika
Sasa endelea kusumbua hivyo hivyo! Mie ikipita week tu hueleweki nakutosaNigundue kama napendwa kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji850]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio kila homa ni malaria[emoji23]
Bac kwani tunadaiana? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na hapo hela zenyewe huna etiSasa endelea kusumbua hivyo hivyo! Mie ikipita week tu hueleweki nakutosa
Hela sikupi na rafiki yako namchukua utabaki unatoa toa macho tu!Bac kwani tunadaiana? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na hapo hela zenyewe huna eti
Hahahahahahahamajimbo yote niliopita bila kupingwa niliweza kuhudumu kwa mihula miwili!
Tabia mbaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hela sikupi na rafiki yako namchukua utabaki unatoa toa macho tu!
Kwa historia kwenye majimbo yote niliopita bila kupingwa niliweza kuhudumu kwa mihula miwili!
Ndio hivyo yani! Madem walionisumbua hatukuwahi kudumu hata mwezi mmoja!Tabia mbaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa Mimi nitajuaje una nitega? Nitajuaje unasubiri nirudiKama nilikua nukusubili uje mara nyingine ndio nikukubalie harafu wewe ghafla tu unaenda KWA shoga yangu una uhakika nimekukataa kweli? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732] Mseleleko
Sasa mbona shoga yako asisubiri nimrudie Mara ya pili ye kakubali chap.Kama nilikua nukusubili uje mara nyingine ndio nikukubalie harafu wewe ghafla tu unaenda KWA shoga yangu una uhakika nimekukataa kweli? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732] Mseleleko
Utajua mwenyeweSasa Mimi nitajuaje una nitega? Nitajuaje unasubiri nirudi
Shoga yangu nae kihere here hicho sasaSasa mbona shoga yako asisubiri nimrudie Mara ya pili ye kakubali chap.
Ndio pale jamaa anageuka shemeji, halafu mkikutana kwenye korido mna flirt unamwambia ulikuwa mume wangu ila uliwahi, ulikuwa na haraka .Shoga yangu nae kihere here hicho sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] namtingishia tako nasepa[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Ndio pale jamaa anageuka shemeji, halafu mkikutana kwenye korido mna flirt unamwambia ulikuwa mume wangu ila uliwahi, ulikuwa na haraka .
Good analysis. Upo sahisi sana mkuu. Cha kuongezea always wanawake hawaelewekiNamba 1: sababu inaweza kuwa alikuwa na jamaa yake na sasa mahusiano yameisha kwahiyo anatafuta pa kufarijika.
Namba 2: Ni wivu tu.
Ila pia sometimes wanawake hawaeleweki!
Napiga hilo tako kibao pwaaaa.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] namtingishia tako nasepa[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]