Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Brother chukua na godoro ulale kabisa maana utachoka kunisubiriaHaya utakuja na uzi hapa. We ngoja moto ukianza kuwaka sisi tutakuwa wasomaji tu hapa. Huku pembeni tunacheka.... Kwi kwi kwi kwi kwi hatuna mbavu.
Siku tatu mwisho akizingua atongoze mwengine.Unataka atongoze kwa muda gani?
Kweli bana nilikuwa na kidemu kuleeee Musoma si kika niacha bwanawee!! kuumbe kina njemba inaitwa Metsela bana! ile njemba bidae kidogo ikafa kwa ukimwi!!Bahati mbaya sijakutana na wa hivi. Naomba ujue huyu anayejileta, mambo yamemharibikia anatafuta pa kuegemea.
Nasema; ogopa mwanamke aliyeumizwa na akajileta, hapo huna lako akitulia anamrudia bwanake.
Wanaume tumeshusha thamani yetu kwa kutongoza hovyo, kimsingi sisi ndio tunatakiwa kutongozwa na kufukuziwa na hawa viumbe.Kweli bana nilikuwa na kidemu kuleeee Musoma si kika niacha bwanawee!! kuumbe kina njemba inaitwa Metsela bana! ile njemba bidae kidogo ikafa kwa ukimwi!!
Sha pataga wa hivi ila kusema kweli nilikapenda jamani mwee! kimaria lkn kikaja kuniacha kimeolewa na jamaa ila hawatakuwa na mtoto bidala yake ni wangu tu ndo anatawala paleSometimes hata mambo hayakuharibika ,we haijakutokea mtaani unatoswa na madem kibao ngoja wasikie umempata dem mpya hapo hapo wanaanza kukutafuta.
Au anakukataa mazima week ijayo akuone umesimama na mwanamke mara anaanza msg ooh kumbe una mwanamke ulikuwa unataka unichezee tu
Bahati mbaya sijakutana na wa hivi. Naomba ujue huyu anayejileta, mambo yamemharibikia anatafuta pa kuegemea.
Nasema; ogopa mwanamke aliyeumizwa na akajileta, hapo huna lako akitulia anamrudia bwanake.
Jamaa hana mbegu?sha pataga wa hivi ila kusema kweli nilikapenda jamani mwee! kimaria lkn kikaja kuniacha kimeolewa na jamaa ila hawatakuwa na mtoto bidala yake ni wangu tu ndo anatawala pale
Hakuna kitu nachukia kama msichana kunitumia picha za uchi.Kweli kabisa mkuu, hapo ulipo agiza kinywaji nakuja kulipia bili.
Kuna kipindi dada mmoja alikuwa rafiki yangu sana, ameolewa. Sasa kuna kipindi akamfumania mume wake amezaa nje ya ndoa. Paliwaka moto akapanic sana mara. Ndoa yao iliyumba sana,
Yaani sababu nilikapendaga bana! Kademu kale hakakosagi kuja kuniona!! Kananipa full Mkanda, yaani nawashauri tu msioe mke wa mutu wajamani mnachoreka sana huko!Jamaa hana mbegu?
Achana na mke wa mtu bro,yaani sababu nilikapendaga bana! kademu kale hakakosagi kuja kuniona!! kananipa full Mkanda, yaani nawashauri tu msioe mke wa mutu wajamani mnachoreka sana huko! jamaa siku moja kafuma number yangu kwenye simu ya demu wake! eti na yeye kwa ujinga wake akanipigia simu....... Nikapokea........
Lakini mkuu si alikuwa wangu bana yeye ndo aache mke wangu!! haki ya...ajaribu aone moto, na mie mafya kinyama yaani nimejiandaa hiyo asithubutu...asee! lool! mbona patachimbika yeye kaoa mke wa mtu! naAchana na mke wa mtu bro
Mke aliyekuacha na kuolewa na mwingine kwa hiyari yake bado unamtaka?Lkn mkuu si alikuwa wangu bana yeye ndo aache mke wangu!! haki ya...ajaribu aone moto, na mie mafya kinyama yaani nimejiandaa hiyo asithubutu...asee! lool! mbona patachimbika yeye kaoa mke wa mtu! na
mie nimeingia gharama hataki amuache yaani kuvamia mtu aliye jiandaa ni shida sana! asije jaribu itamtokea puani ......... huyu wa sasa haa wachukue tu! nataka kichanchuda changu bana kirudi!
Asa Mkuu akiliwa si yeye bana! mie inanihusu nini? kwani mie siwezi kula huko nje? Kma Una dhani mkeo haliwi Mkuu! ni kujidanganya mchana kweupe pee!! afadhali zaidi unae jua kuwa analiwa na flani!! na mikwara waweza kuwa unampiga kuliko anae liwa na Muuza genge! Boda boda Malaya pasi bila kujua!Mke aliyekuacha na kuolewa na mwingine kwa hiyari yake bado unamtaka?
Skija kwako pia ataendelea kuliwa na jamaa, mkeo ni kicheche
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama nilikua nukusubili uje mara nyingine ndio nikukubalie harafu wewe ghafla tu unaenda KWA shoga yangu una uhakika nimekukataa kweli? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732] Mseleleko
Ninashangaa kuna wanaume kama wewe.Asa Mkuu akiliwa si yeye bana! mie inanihusu nini? kwani mie siwezi kula huko nje? Kma Una dhani mkeo haliwi Mkuu! ni kujidanganya mchana kweupe pee!! afadhali zaidi unae jua kuwa analiwa na flani!! na mikwara waweza kuwa unampiga kuliko anae liwa na Muuza genge! Boda ghafla!
tena nikupe dawa ya bure sasa! siku ukiwakamata ugoni, usiwafanyie chochote!! tamka tu alaah! kuuumbe! weee pita hivi! wataenda kujifia ghafla tu!
Mkuu usishangae mkeo analiwa kisiasa sana tu!Ninashangaa kuna wanaume kama wewe.
Inaonyesha unaishi katika jamii isiyostaarabika.Mkuu usishangae mkeo analiwa kisiasa sana tu!
Kuzungushana mda mrefu huwa inakera, bora uzungushe lakini unaonyesha nia.Kama nilikua nukusubili uje mara nyingine ndio nikukubalie harafu wewe ghafla tu unaenda KWA shoga yangu una uhakika nimekukataa kweli? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732] Mseleleko