Wanawake wenye hizi tabia wanastahili heshima sana na kuthaminiwa

Wanawake wenye hizi tabia wanastahili heshima sana na kuthaminiwa

Mpaka leo najiuliza hua hawataki nn kionekane mpaka wanatakaga taa izimwe!!!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
IMG-20210922-WA0120.jpg
 
Ha
po pa mwisho eti kufumba macho wakati inaingia.

Hapo inakuwaga wizi tu. Ili kuficha mshangao wa kadude kanakoingia.

Especially kwa mtu aliejimwambafy sana kuwa ni ze beast. Sasa ze bisti jamani wakati weapon of destruction hakana ushirikiano?

So ili kuficha feelings tunafumba macho jamani.

Hizo chocolates asante hatustahili kwa kweli. 😅😅🤣🤣🤣
 
Kuna sisi ambao tunaliamsha wenyewe mkiwa mmelewa na miusingizi.
Sisi bungeni tukae upande upi kwenye safu ya Waziri Mkuu?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1480][emoji1480][emoji1480][emoji1480]

Nyie huyu mtoto apewe u-moderator Jamii forum chapuu kwa haraka.

Na access ya kuwapiga ban wote wanaomchukia mwaka mzima.
 
Back
Top Bottom