Wanawake wenye kucha ndefu ndiyo wanaongoza kwa kuwa na uke mchafu

Wanawake wenye kucha ndefu ndiyo wanaongoza kwa kuwa na uke mchafu

Mhhh mleta mada umeshakuwa na wanawake wangapi ki mapenzi wenye kucha ndefu na uchi mchafu? Na je wenye kucha fupi wana nyuchi safi? I am just curious to know Data zako umezikusanyaje.
 
Hali hii husababishwa na wanawake wa dizaini hii kushindwa kuosha uke kwa ndani kwa kuhofia kucha zao zitawaumiza.Kwa hiyo kama mkeo au mchumba wako ana kucha ndefu jiandae kisaikolojia kupambana na Bwawa la mabibo au mlimani na harufu ya kutosha.Onyo .usijaribu kwenda chumvini na mwanamke wa dizaini hii,utababuka ulimi au USO kuvimba.
n
 
Mhhh mleta mada umeshakuwa na wanawake wangapi ki mapenzi wenye kucha ndefu na uchi mchafu? Na je wenye kucha fupi wana nyuchi safi? I am just curious to know Data zako umezikusanyaje.
shem wangu kwa Z anto usione watu wakileta andiko ukajua labda hawakufanya utafiti.. Huyo mleta mada ni mtaalam aliyebobea katika suala zima la ugegedaji so nadhani amegundua hilo kupitia ubobezi wake
 
Adi manesi wanawakemea sana mi nilimpeleka dem wng kuchoma sindano nesi alimchamba kinyama na mikucha yke ka jini kabula

Kwa hiyo Una ushahidi Na unauthibitishia umma wa jukwaa hili kuwa huwa Aliyosema mleta maada huu ya via vya uzazi kuwa vichafu?
 
Back
Top Bottom