ibra87
R I P
- Jul 22, 2015
- 5,614
- 5,351
ndio nini hiyo?VUZI RUKSA??.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio nini hiyo?VUZI RUKSA??.
Mke wako ni atoto, na hata ulimwengu unalijua hilo mkuumke wangu kwani humjui? Au kwa vile ulitia mistari ukatolewa mbavuni?
Haya baba ngoja nitoke nduki niendeusijali nikija ntakucheki then kuna kitu nimekuachia kule pm naomba ukakichukue mama winlicious
Ungemalizia "na harufu zetu za uvundo"Na mtuwachee[emoji108]
🙁🙁🙁🙁😀😀😀😀😀Adi manesi wanawakemea sana mi nilimpeleka dem wng kuchoma sindano nesi alimchamba kinyama na mikucha yke ka jini kabula
Ha haaa toka ukoUngemalizia "na harufu zetu za uvundo"
wacha nitoke huku, twende pm si eti?Ha haaa toka uko
Hii vita unayoitafuta hapa nadhani hata wewe utashindwa kuikabiliMke wako ni atoto, na hata ulimwengu unalijua hilo mkuu
Hiyo pm mi hata sijui ni niniwacha nitoke huku, twende pm si eti?
Ni hotel maarufu five star hapa mjini.Hiyo pm mi hata sijui ni nini
Kuna sehemu nilukwenda...kuna mdada alitengeneza kachumbari kwakweli sikula kabisa yani kucha ndefu hadi unashangazwa.Huwa najiuliza mwanamke juyu anawezaje kupika chakula kwa usafi? Anawezaje kufua chupi yake na nguo zake labda na za mmewe? Anawezaje kujitawaza vizuri? Asee wanawake urembo mwingine hatari kwa afya zetu na wenzetu tubadilike
Maeneo gani ipo?Ni hotel maarufu five star hapa mjini.
Unakuta ana kutengenezea juice au kachumbari aisee...Mkuu hao ni wachafu mno kukulisha ma..v ni kugusa tuu wachafu mno hata chu...p zao huwa za njano kwa mbele hupenda kuvaa chu...p nyeusi na nyekundu asee siwapendi kabisa.
UTAUMWA weweVichafu ndiyo vitamu..
.............................Na mtuwachee[emoji108]
Upepo unakovumaMaeneo gani ipo?
OohUpepo unakovuma