Wanawake wenye kucha ndefu ndiyo wanaongoza kwa kuwa na uke mchafu

Wanawake wenye kucha ndefu ndiyo wanaongoza kwa kuwa na uke mchafu

Adi manesi wanawakemea sana mi nilimpeleka dem wng kuchoma sindano nesi alimchamba kinyama na mikucha yke ka jini kabula
Halafu huwa ana kutengenezea juice au kachumbari na una kula kabisa! Hivi ulisha muuliza huwa ni vipi anajisafisha akiwa msalani?
 
Sawa baba tumekusikia
asnteeee mamiii wewe haumo saidia kuwapa kaelimu hawa wengine maana wazazi nao sijui ndo kutokujua elimu za usafi hawawafundishi watoto wao hasa wamama ko unamuoa hajui usafi uweje kimaumbile mtoto wa kike hata mkojo lazima ujisafishe vizuri sasa mwingine kakojoa hata maji kugusa shida au ndo mmetoka kuduu hagusi maji kama ndo bila maganda mpe masaa manne tu harufu ishaanza na hii ndio chanzo kikuu cha fangus na UTI
 
Hali hii husababishwa na wanawake wa dizaini hii kushindwa kuosha uke kwa ndani kwa kuhofia kucha zao zitawaumiza.

Kwa hiyo kama mkeo au mchumba wako ana kucha ndefu jiandae kisaikolojia kupambana na bwawa la mabibo au mlimani na harufu ya kutosha.

Onyo, usijaribu kwenda chumvini na mwanamke wa dizaini hii,utababuka ulimi au uso kuvimba.
Umegonga ikulu.
 
Hii vita unayoitafuta hapa nadhani hata wewe utashindwa kuikabili
Sisi pamoja na historia tutakulaumu daima kwa kutokutuletea MREJESHO hapa juu ya nini kilitokea nyuma ya pazia kwenye hilo linalosemekana na wadau kuwa lilikuwa penzi zito!!
 
Sisi pamoja na historia tutakulaumu daima kwa kutokutuletea MREJESHO hapa juu ya nini kilitokea nyuma ya pazia kwenye hilo linalosemekana na wadau kuwa lilikuwa penzi zito!!
nina penzi zito na mtu mwingine mkuu, hao wadau wamekudanganya na Huyo unayemzungumzia ni Mke wa Mtu
 
Back
Top Bottom