engine rock
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,379
- 1,394
Lakini ulikua ukizama chumvini unakuta iko safi?Sikua mfwatiaj wa ivo vitu mpaka yule nesi alivomchamba ndo akamweleza na madhara yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini ulikua ukizama chumvini unakuta iko safi?Sikua mfwatiaj wa ivo vitu mpaka yule nesi alivomchamba ndo akamweleza na madhara yake
Endelea kutibu UTI na kulisha watu uchafu.Na mtuwachee[emoji108]
Mi nafuga mbili kwa kazi maalumEndelea kutibu UTI na kulisha watu uchafu.
Amekubalimpenzi wangu mimi ni marufuku wigi, kucha ndefu, nyusi bandia na mirangi ya ovyo ovyo
Sasa toilet paper wana jisafisha au wana jipaka?Wanatumia toileti pepa ahahahhaaha
Na mtuwachee[emoji108]
Boss wangu alienda bank akakuta kuna staff wa kiume amefuga kucha akatuliza hivi akienda msalani anafanyaje?.Kwangu Mimi mtu anayefuga kucha ni mchafu.Huwa najiuliza mtu yeyote anaye fuga kucha tena mikono yote ...hujisafisha vipi akiwa msalani?
Wanajipaka mkuu [emoji15]Sasa toilet paper wana jisafisha au wana jipaka?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Inasemekana 89% ya wanawake wana tatizo la uwendawazimu wa kutaka kufanana na flani!!!
Weeee nan alambe k mi sio mzungu kiivoLakini ulikua ukizama chumvini unakuta iko safi?
usijali nikija ntakucheki then kuna kitu nimekuachia kule pm naomba ukakichukue mama winliciousMbeya kuzuri tu Wangu,karibu
mke wangu kwani humjui? Au kwa vile ulitia mistari ukatolewa mbavuni?Weka picha!
Hawa wanaume wafuga kucha hawa jamaniii,.cpendi Hata anikaribie mwanaume unafugaje Kucha,za kazi gani na kwann!??ndo wanaowaletea wanawake zao kansa za kizazi tuu[emoji57] [emoji57]Boss wangu alienda bank akakuta kuna staff wa kiume amefuga kucha akatuliza hivi akienda msalani anafanyaje?.Kwangu Mimi mtu anayefuga kucha ni mchafu.