Wanawake wenye makalio makubwa hawana heshima

Wanawake wenye makalio makubwa hawana heshima

Nimegundua Hawa warembo Wanajifanya wajanja na wajuwaji kwa kila hoja ilihali %kubwa ni weupe vichwaji, kisa tu wanasifiwa barabarani kuwa ni wazuri. Kwanza wengi wao waliofaulu vyuoni kwa kuuza uchi

Kutana na kimwanamke(age 23-27), tako kubwa au hips, chenye ajira kidogo, yaani kinadhani kimemaliza kila kitu maishani.

Pale kazini kwetu Kuna mmoja ana kazi ya kujibu jibu watu hovyo na dharau, siku moja nikaona anaibiwa na wakimbizi laptop na iPhone 11, nikavunga tu. Amerudi anauliza nikala buyu tu.

Siku nilipohamia hapa ninapoishi nilimkuta huyu mdada na yeye ana figure nzuri na rangi nzuri na ajira halmashauri, Sasa kwa kuwa mwenye nyumba haishi hapa, alikabiliwa ufunguo ili mpangaji akipatikana ampe.

Picha linaanza nimeshahamia jioni hiyo, nkatoka nje nikamkuta kwenye kibaraza nikataka nipige naye story kidogo nipajuwe kwa Mwenyekiti wa mtaa na maji yanatoka Mara ngapi kwa wiki. Nashangaa mtu ananiambia "ingia ndai endele na Mambo yako". Nikamambia nilichotaka kujua Ni maji yanatoka Mara ngapi kwa wiki ili niweke ratiba yangu vizuri, anijibu "yakitoka utayaona", nikawa mpole

Weekend nikafua nguo nikaanika kwenye kamba nikaenda mtaani, narudi saa sita nakuta amekusanya nguo zangu kwenye kisehemu Cha kamba hiyo akaanika zake, kucheki nguo zangu bado mbichi.

Hasira za kimasai zikanikaba, nikamuomba Mungu utulivu wa nafsi maana huwa nikiwa na hasira naweza Kufanya lolote baya(Nina Rekodi ya kukaa jela miezi sita kwa sababu ya hasira, hivyo kwa kutambua hilo nikawa mpole tu), nikaenda hardware nikanunua binding wire nikaja kuanikia nguo zangu, siku ikapita salama.

Kuna siku nikaugua malaria na typhoid nikawa hoi Sana nikamuomba anipikie uji jioni, unga wa uji na maziwa nilikuwa nayo mimi, akanijibu kwani huna rafiki? Nikasema wapo Ila mitaa ya mbali kidogo. Akanijibu "kwani huna namba zao?" Nikawa mpole.

Siku chache baadaye nilimuona akitoka room kwake baada ya hatua chache ufunguo ukamdondoka kutoka kwenye jacket lake la traki suti, alivyoenda mbali nikauokota huo ufunguo nikauflashi shooni.

Baada ya Kama masaa mawili nasikia mtu anasema, jirani.. jirani.. jirani, kwa sauti nyororo Kama ya Mtoto wa paka aliyenyeeshewa na mvua. Nikajisemea kimoyomoyo "leo ndiyo unajua kuwa Mimi ni jirani yako?"

Nikafungua mlango, Akaniambia " nimedomdosha ufunguo, naomba niwekee hivi vitu kwako nikatafute ufunguo, nikavipokea alivyotoka ni nikafungua hayo mabahasha na magazeti nikakuta juice kubwa ya maembe na nyama choma nusu nikala na kunywa nikalala.

Mida ya saa mbili usiku nasikia mlio wa screwdriver fundi akibadilisha kitasa, manake alipokosa ufunguo akaenda kununua kitasa Cha zaidi ya elfu 65 pamoja na gharama ya fundi Ni approximately 80 elfu au zaidi plus juice na nyama choma niliyokula inaweza fika laki.

Asubuhi yake tulikuwa na seminar ya wiki nzima kwenye taasisi yetu nikawa nalala hotelini na kwa kuwa Hana number yangu tulikuja kuonana weekend, akauliza "ulikuwa wapi?" Nikamjibu " wewe ni ku** nini? Unaniuliza nilikuwa wapi kwani Mimi mume wako?" Kwa majibu hayo akajua tu amepigwa.

Sasa kwa kuwa main switch ya umeme ipo room kwake, akaanza vituko vya kuzima umeme muda ambao hayupo nyumbani au usiku baada ya kumaliza Mambo yake. Nikavizia muda anaingia ndani nikamuonya akirudia kunizimia umeme atanitambua. Kisha nikampigia Mwenye nyumba naye akamkanya, akaacha huo Ujinga.

Hivi ndivyo ninavyodili na wadada wenye nyodo kisa makalio makubwa, hips na ajira ya kijungujiko.
Mabonge nayo hayanaga akili kabisa. Mi nikimuona mwanamke bonge huwa naona hamna kitu kichwani
 
Mi huwa naboeka tu na zile ke ambazo zimewekwa kwenye biashara za watu na zinaleta nyodo za ajabu ajabu utazan hata anajua ni namna gani mwenye hyo biashara alivyoteseka mpaka kuifikisha hapo

Majibu ya kijinga kijinga tu afu vivivu kufanya kazi hata wateja wakiondoka kanaona sawa tu,shubamiti

Tanesco sengerema,kuna mbwa wapo mapokezi hapo wanamadharau hatari majitu yenyewe kama mafurushi tena ni mashangazi
Mwamba umewatolea uvivu kabisa. 😅😅😅
 
Soma chote nilichoandika utaelewa

Kamba tu hii! Hata kama ulikuwa kwenye semina wiki nzima ambapo hamkuonana kipindi hicho, lazima siku uliporudi ningeomba unipe mzigo wangu ( juice na nyama), vinginevyo siku ile ile au usiku ule ule wakati amerudi na kuweka kitasa kingine angekugongea mlango na kutaka mzigo wake!
Kamba tupu hapa!
 
Never. Mwanamke Mwenye nyodo Hana mumue permanent

Kwa hiyo wewe unapohamia kwenye nyumba ya kupanga basi hapo hapo chini kunaanza kutetema unapomkuta mrembo kajikalia kimya! Angalia sana utakuja kula nyundo na mwenye mali yake! Nakupa onyo tena utakuja kula NYUNDO!
 
Usipomuwahi atakuwahi yeye.....
Anajidai kujishusha ili Akubwage kwa aibu.
SANUKA[emoji41]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Hii imeenda aiseee!!! Kweli wewe shabiki hater hupendi amani!!! Vayolence kila kona khaaaaaa!!!

Sasa tukigombana tupatane tena o ndo basi?!!
 
Nimegundua Hawa warembo Wanajifanya wajanja na wajuwaji kwa kila hoja ilihali %kubwa ni weupe vichwaji, kisa tu wanasifiwa barabarani kuwa ni wazuri. Kwanza wengi wao waliofaulu vyuoni kwa kuuza uchi

Kutana na kimwanamke(age 23-27), tako kubwa au hips, chenye ajira kidogo, yaani kinadhani kimemaliza kila kitu maishani.

Pale kazini kwetu Kuna mmoja ana kazi ya kujibu jibu watu hovyo na dharau, siku moja nikaona anaibiwa na wakimbizi laptop na iPhone 11, nikavunga tu. Amerudi anauliza nikala buyu tu.

Siku nilipohamia hapa ninapoishi nilimkuta huyu mdada na yeye ana figure nzuri na rangi nzuri na ajira halmashauri, Sasa kwa kuwa mwenye nyumba haishi hapa, alikabiliwa ufunguo ili mpangaji akipatikana ampe.

Picha linaanza nimeshahamia jioni hiyo, nkatoka nje nikamkuta kwenye kibaraza nikataka nipige naye story kidogo nipajuwe kwa Mwenyekiti wa mtaa na maji yanatoka Mara ngapi kwa wiki. Nashangaa mtu ananiambia "ingia ndai endele na Mambo yako". Nikamambia nilichotaka kujua Ni maji yanatoka Mara ngapi kwa wiki ili niweke ratiba yangu vizuri, anijibu "yakitoka utayaona", nikawa mpole

Weekend nikafua nguo nikaanika kwenye kamba nikaenda mtaani, narudi saa sita nakuta amekusanya nguo zangu kwenye kisehemu Cha kamba hiyo akaanika zake, kucheki nguo zangu bado mbichi.

Hasira za kimasai zikanikaba, nikamuomba Mungu utulivu wa nafsi maana huwa nikiwa na hasira naweza Kufanya lolote baya(Nina Rekodi ya kukaa jela miezi sita kwa sababu ya hasira, hivyo kwa kutambua hilo nikawa mpole tu), nikaenda hardware nikanunua binding wire nikaja kuanikia nguo zangu, siku ikapita salama.

Kuna siku nikaugua malaria na typhoid nikawa hoi Sana nikamuomba anipikie uji jioni, unga wa uji na maziwa nilikuwa nayo mimi, akanijibu kwani huna rafiki? Nikasema wapo Ila mitaa ya mbali kidogo. Akanijibu "kwani huna namba zao?" Nikawa mpole.

Siku chache baadaye nilimuona akitoka room kwake baada ya hatua chache ufunguo ukamdondoka kutoka kwenye jacket lake la traki suti, alivyoenda mbali nikauokota huo ufunguo nikauflashi shooni.

Baada ya Kama masaa mawili nasikia mtu anasema, jirani.. jirani.. jirani, kwa sauti nyororo Kama ya Mtoto wa paka aliyenyeeshewa na mvua. Nikajisemea kimoyomoyo "leo ndiyo unajua kuwa Mimi ni jirani yako?"

Nikafungua mlango, Akaniambia " nimedomdosha ufunguo, naomba niwekee hivi vitu kwako nikatafute ufunguo, nikavipokea alivyotoka ni nikafungua hayo mabahasha na magazeti nikakuta juice kubwa ya maembe na nyama choma nusu nikala na kunywa nikalala.

Mida ya saa mbili usiku nasikia mlio wa screwdriver fundi akibadilisha kitasa, manake alipokosa ufunguo akaenda kununua kitasa Cha zaidi ya elfu 65 pamoja na gharama ya fundi Ni approximately 80 elfu au zaidi plus juice na nyama choma niliyokula inaweza fika laki.

Asubuhi yake tulikuwa na seminar ya wiki nzima kwenye taasisi yetu nikawa nalala hotelini na kwa kuwa Hana number yangu tulikuja kuonana weekend, akauliza "ulikuwa wapi?" Nikamjibu " wewe ni ku** nini? Unaniuliza nilikuwa wapi kwani Mimi mume wako?" Kwa majibu hayo akajua tu amepigwa.

Sasa kwa kuwa main switch ya umeme ipo room kwake, akaanza vituko vya kuzima umeme muda ambao hayupo nyumbani au usiku baada ya kumaliza Mambo yake. Nikavizia muda anaingia ndani nikamuonya akirudia kunizimia umeme atanitambua. Kisha nikampigia Mwenye nyumba naye akamkanya, akaacha huo Ujinga.

Hivi ndivyo ninavyodili na wadada wenye nyodo kisa makalio makubwa, hips na ajira ya kijungujiko.
Tafiti ziko wazi wenye makalio makubwa wanazaa watoto vipanga ,MSISITIZO tuzae nao.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Hii imeenda aiseee!!! Kweli wewe shabiki hater hupendi amani!!! Vayolence kila kona khaaaaaa!!!

Sasa tukigombana tupatane tena o ndo basi?!!
Kupatana kunasaidia nini 😎😂😂😂
Muwahi kabla hajakumaliza.
Afu hujatuthibitishia, si Ulisema Countrywide ndio Nikki wa Pili.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Hii imeenda aiseee!!! Kweli wewe shabiki hater hupendi amani!!! Vayolence kila kona khaaaaaa!!!

Sasa tukigombana tupatane tena o ndo basi?!!

Huyu anaonesha kuwa akimwona mwanamke mwenye makalio makubwa popote pale iwe kazini au mitaani chini kunaanza kutetema pale pale! Hafai huyu!
 
Dawa ya jeuri ya hao wanawake unaosema wana nyodo ni wewe kupunguza au kuacha shobo mkuu, Tatizo wana mnawalaumu sana hawa wanawake ila in deep ninyi ndo huwaaharibu kisaikolojia na unapaswa uelewe kutwa nzima wanakutana na wanaume wa design yako kibao na gia zao ni hizohizo za shobo ndo maana hata wewe anakupokea kwa kujua ndo walewale... Wana mnapaswa kupata elimu jinsi ya kujitambua na kujua ni wapi mnakosea ili msichukuliwe baridi na hawa viumbe maana mnakuwa wasumbufu sana kwao
 
Back
Top Bottom