Wanawake wenye makalio makubwa hawana heshima

Mabonge nayo hayanaga akili kabisa. Mi nikimuona mwanamke bonge huwa naona hamna kitu kichwani
 
Mwamba umewatolea uvivu kabisa. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Soma chote nilichoandika utaelewa

Kamba tu hii! Hata kama ulikuwa kwenye semina wiki nzima ambapo hamkuonana kipindi hicho, lazima siku uliporudi ningeomba unipe mzigo wangu ( juice na nyama), vinginevyo siku ile ile au usiku ule ule wakati amerudi na kuweka kitasa kingine angekugongea mlango na kutaka mzigo wake!
Kamba tupu hapa!
 
Never. Mwanamke Mwenye nyodo Hana mumue permanent

Kwa hiyo wewe unapohamia kwenye nyumba ya kupanga basi hapo hapo chini kunaanza kutetema unapomkuta mrembo kajikalia kimya! Angalia sana utakuja kula nyundo na mwenye mali yake! Nakupa onyo tena utakuja kula NYUNDO!
 
Usipomuwahi atakuwahi yeye.....
Anajidai kujishusha ili Akubwage kwa aibu.
SANUKA[emoji41]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Hii imeenda aiseee!!! Kweli wewe shabiki hater hupendi amani!!! Vayolence kila kona khaaaaaa!!!

Sasa tukigombana tupatane tena o ndo basi?!!
 
Tafiti ziko wazi wenye makalio makubwa wanazaa watoto vipanga ,MSISITIZO tuzae nao.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Hii imeenda aiseee!!! Kweli wewe shabiki hater hupendi amani!!! Vayolence kila kona khaaaaaa!!!

Sasa tukigombana tupatane tena o ndo basi?!!
Kupatana kunasaidia nini πŸ˜ŽπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Muwahi kabla hajakumaliza.
Afu hujatuthibitishia, si Ulisema Countrywide ndio Nikki wa Pili.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Hii imeenda aiseee!!! Kweli wewe shabiki hater hupendi amani!!! Vayolence kila kona khaaaaaa!!!

Sasa tukigombana tupatane tena o ndo basi?!!

Huyu anaonesha kuwa akimwona mwanamke mwenye makalio makubwa popote pale iwe kazini au mitaani chini kunaanza kutetema pale pale! Hafai huyu!
 
Dawa ya jeuri ya hao wanawake unaosema wana nyodo ni wewe kupunguza au kuacha shobo mkuu, Tatizo wana mnawalaumu sana hawa wanawake ila in deep ninyi ndo huwaaharibu kisaikolojia na unapaswa uelewe kutwa nzima wanakutana na wanaume wa design yako kibao na gia zao ni hizohizo za shobo ndo maana hata wewe anakupokea kwa kujua ndo walewale... Wana mnapaswa kupata elimu jinsi ya kujitambua na kujua ni wapi mnakosea ili msichukuliwe baridi na hawa viumbe maana mnakuwa wasumbufu sana kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…