Wanawake wenye maumbo mazuri ni wetu.

Wanawake wenye maumbo mazuri ni wetu.

Bmw m5

Member
Joined
Oct 20, 2024
Posts
73
Reaction score
95
Ndugu zangu salaaaam..

Nimekua natamani sana kuoa mwanamke mzuri kuanzia umbo kwa maana ya muonekano wa nje.

Ila mara kadhaa kumekua na baadhi ya watu wakisema kuoa pisi kali ni sawa na kulima shamba la miwa karibu na shule tena ya msingi🤣🤔.
Hivyo kupelekea watu wenye nia ama ndoto ya kumiliki wanawake wazuri kubadili mtazamo juu yao.

Zipo sifa tofauti ambazo zimekua kikwazo cha pisi kali hizi kuolewa.

Kwa upande wangu binafsi nimekuwa na hii ndoto ya kuja kuoa binti mzuri kuanzia umbo, rangi na tabia, ijapokua nimekua nasikia sifa tofauti juu ya wanawake hawa wazuri kuwa hawadumu kwenye ndoa sababu ya uzuri wao.
Nawashauri vijana wenzangu tusiogope kuwaoa hawa warembo, muoe muweke ndani uishi nae.

naomba kuwasilisha, kwa waliowahi kuoa pisi kali, tushare uzoefu ili vijana tujifunze zaidi
 

Attachments

  • FB_IMG_17379953140329702.jpg
    FB_IMG_17379953140329702.jpg
    163.5 KB · Views: 2
Ndugu zangu salaaaam..

Nimekua natamani sana kuoa mwanamke mzuri kuanzia umbo kwa maana ya muonekano wa nje.

Ila mara kadhaa kumekua na baadhi ya watu wakisema kuoa pisi kali ni sawa na kulima shamba la miwa karibu na shule tena ya msingi
 
Kuna jamaa mahakamani aliulizwa mbona una mke mzuri hivi kwanini unamuacha? (Na kweli mwanamke alikua mzuri sana na anaupole flani nahisi wa kuigiza)

Jamaa akajibu jibu fupi sana akasema "kizuri hakikosi kasoro"

Nikahisi tu yule mwamba amevumilia mengi sana moyo wake umechoka hata kuelezea aliyopitia
 
Back
Top Bottom