komwe limefika wapi AikooohBarikiwa π€
Dah brother we ni pimbiππ€£π€£sema nini haiombwi hivo mkuu
We mwana arsenal au city ππ€£Daah!kwa hiyo kwa sasa naongoza ligi ππ
Enwei...asante sana kwa kunikubali mkuu Mfilisiti ,japo ni tusi kubwa sana kuniweka nafasi ya hao wapuuzi Liver...na ni suala la muda tu watatoka kwenye hiyo nafasi π€
Ohh uta sababisha not open for further replies ππ€£Hii michezo mnayofungia nayo mwaka ni hatariiiβ¦ πΉβοΈ
Nina uhakika na Donatila mama mtumishi mvaa magauni marefu,, tuliobaki sijui jinsia π€π
Dah Ume Tisha mwalimuππ€£π€£Mimi ni Arsenal, ungeniweka kwenye nafasi yangu na points zangu ingependeza π€£π€£
Asante Mkuu
π₯
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana sikuhizi tunaopewa ni wachache sana, wengi wetu wanashinda chini ya kwapa za hawa viumbe kuwaomba.