Wanawake wenye sura nzito/ngumu tukutane hapa

Wala usiwaze mamalai, huwezi kukosa mume. Watu wana tastes tofauti tofauti. Sio kila mwanaume anavutiwa na sura.. Wanaovutiwa na sura na chura mara nyingi ni tamaa tu na huwa hawafiki mbali. Upendo wa kweli ndio deal hata ukiwa na jicho moja.
True dat..
Kumbe una busara hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…