Wanawake wenye sura nzito/ngumu tukutane hapa

Wanawake wenye sura nzito/ngumu tukutane hapa

Hahahaha, asee
Mademu wenye sura ngumu,ndo walingaji namba moja.......zamani(vyuoni/shuleni) mi nilikuwaga na kautaratibu kakuwasaidia(kuwatongoza) ili na wao wajione ni watu lakini nilikuwa nakutana na majibu ya ajabu ajabu na mizinguo mingi,nkaamua kuachana nao wafe na ugwadu wao.
 
Sasa huoni wanavyofaidi, ndoa zenyewe majanga tu. Mie nawekwa ndani alafu anafaidi mwingineeee!!
Taabu iko pale pale.
Majanga kama utashinda na mwanaume ukijirudi majanga hakuna muhimu ujue kumvutia mume kwa maneno na matendo yenye mvuto utainjoy ndoa.

Kumbuka tu mwanaume hapangiwi muda wa kurudi la kuomba arudi salama ukimnunia attazidisha muda hivyo ni juu yako kubomoa au kutengeneza ndoa yako.

TUMEPEWA MAMLAKA TUHESHIMIWE.
 
Mademu wenye sura ngumu,ndo walingaji namba moja.......zamani(vyuoni/shuleni) mi nilikuwaga na kautaratibu kakuwasaidia(kuwatongoza) ili na wao wajione ni watu lakini nilikuwa nakutana na majibu ya ajabu ajabu na mizinguo mingi,nkaamua kuachana nao wafe na ugwadu wao.
Hawachezewi unawataka nenda kwao kabisa hawana muda na mapenzi na walisha nyimwa
 
Dah..mbona kitaa madem wengi wananiita hb?[emoji41][emoji41][emoji15]
1543569017580.png
1543569017580.png
1543569017580.png
1543569017580.png
1543569017580.png
1543569017580.png
1543569017580.png
 
Ila tuwapongeze sana hawa wanawake wa sampuli hizi, maana ndiyo wanaongoza kutunza familia zao bila migogoro, kwanza ni wapambanaji sana na wanjua kubembeleza sana, na wengi wao 90% wanaolewa
Ahsante ya dhati [emoji23]
 
Back
Top Bottom