Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

white girl kaolewa na nani besti?

afu na wewe umeolewa?

Kaolewa na mwanaume,mi bado nipo sana sijui nilienae ana mpango gani maana ananiangalia tu kama sanamu sijui hajui muda umefika aaaaaggghhhh
 
Last edited by a moderator:
Kaolewa na mwanaume,mi bado nipo sana sijui nilienae ana mpango gani maana ananiangalia tu kama sanamu sijui hajui muda umefika aaaaaggghhhh

yuko humu humu tu au yuko wapi? kwanini akugeuze sehemu ya mazoezi bana wakati watu serious tupo?
 
Mara nyingi wakina dada wenye matumbo makubwa wanakuwa wamezaa lakini hii kwa hapa bongo nchi za wenzetu hata mwanamke azae mara ngapi hawi na tumbo kubwa mfano mzuri mke wa David Beckam...Washauri wafanye mazoezi lakini usiwaponde kihivyo..
 

Hadi matokeo yatoke mrudi shule tutakuwa tumeipata fresh..!!
 
yuko humu humu tu au yuko wapi? kwanini akugeuze sehemu ya mazoezi bana wakati watu serious tupo?

Hahahahahahaha tatizo staki kua mke mdogo ntahakikisha nakomaa na jiji mpaka kieleweke we tulia mipango miji ikiwa fresh lazima upewe kadi kupenda si mchezo unajua sijafika mwisho wala kukata tamaa kama ambayo arsenal haijakataa tamaaa
 
Hahahahahahaha tatizo staki kua mke mdogo ntahakikisha nakomaa na jiji mpaka kieleweke we tulia mipango miji ikiwa fresh lazima upewe kadi kupenda si mchezo unajua sijafika mwisho wala kukata tamaa kama ambayo arsenal haijakataa tamaaa

acha hizo bana.. wake wadogo siku hizi wana advantage kubwa sana...

come here dina..! close your eyes... hug me!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…