Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuwa na nke sio shida...! wangapi wana wake halafu wakaongeza wake?
Vitambi vyao vinakukera nini?
Mbona wasio na vitambi wapo wengi tu....
Basi muongezee Evelyn
Kaolewa na mwanaume,mi bado nipo sana sijui nilienae ana mpango gani maana ananiangalia tu kama sanamu sijui hajui muda umefika aaaaaggghhhh
kumbe wengi wana vitambi
Yaani madada ya siku hizi sijui yakoje!...yanakeraaaa!!..hadi kichechefu!!..
Unakuta dada mzuri ajabu!..shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh!!...kuja mbele sasa..chevuuuu!!!..mtumbo huo!...uzuri wote chalii!
Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho!!..mnakula sana kuliko hata midume!..machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!
Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke ni nani!..kwani mki maintain shape kuna ubaya gani!..
We huoni watoto kama jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha!!...sio kama shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo!!...au mfano mzuri mdada Lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!
dr.holygrail
eenh! walae weito?
kino nke?
Ni uni mura omweito!!
picha ya nani mkuu
ahahahaaa!! bhuyo nobholongo!!!
eyo nenda yacho?
wuuuuuuuh! nkuule!
yuko humu humu tu au yuko wapi? kwanini akugeuze sehemu ya mazoezi bana wakati watu serious tupo?
Ni ubhuhene weito!! Taya umubhuri Evelyn Salt
Hahahahahahaha tatizo staki kua mke mdogo ntahakikisha nakomaa na jiji mpaka kieleweke we tulia mipango miji ikiwa fresh lazima upewe kadi kupenda si mchezo unajua sijafika mwisho wala kukata tamaa kama ambayo arsenal haijakataa tamaaa