queen monroe
Member
- Jan 7, 2014
- 86
- 35
Tz piga marfuk ujangili wa Tembo usisahau uingizwaji wa dawa za kichina ni keroooo mitaani!
Mkuu kama mambo yenyewe yako hivyo humu jamvini inawezekana tunamjadili mtu mwenye mapungufu makubwa mno. Ni kumpotezea mtu kama huyu tu.Hapo hakuna mchungaji, kwenye thread ya uteuzi wa mgombea ubunge kwa ticket ya CHADEMA Kalenga ameahidi kutoa tiGO kama CHADEMA watashinda.
Huyu lazima atakuwa sigara nyota. Hahahaaaaahahaaaaaaaaa ameahidi kutoa Tigo...
salaleeeeeeeeee
Mfuatilie kule jukwaa la wakubwa na kwenye link aliyotoa baba V ufahamu alipovurunda.hivi huyu pastor kawafanya nini jamani!....
Na kweli mkuu hata kama tukifika hata wake zetu wote atakuwa ameshawatafuna huyu!Mchungaji gamba anajisifia anakula msamba... kweli tutafika tumechoka.
hapo sasa penyewee...hajaona vya kusema huyu..mkeo akizaa atakua kama diaba la maji..mtumbo kule..na ukimfata flat nae alizaa yaleyale..tuone kama utamaliza wanawake wote,,kenge wee
Ngoja watumiaji wapite huku, lazima watamtafuta.hahaaaaaaaaa ameahidi kutoa Tigo...
salaleeeeeeeeee
Amependeza mno!
Ni shidaaa
Ngoja watumiaji wapite huku, lazima watamtafuta.
Ndiyo maana yake.hahaa na siri ya biashara ni matangazo
Nipe jicho hilo nilifumue fumu fumu ndo utauona ulume Wangu
mnfsssssss
What is wrong with him?
Mleta thread, kuna tofauti kubwa sana kati ya Jokate na Shilole
Pole broda...ukifupisha jina wantaja mwingine ujue....