Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Tz piga marfuk ujangili wa Tembo usisahau uingizwaji wa dawa za kichina ni keroooo mitaani!

hapo sasa penyewee...hajaona vya kusema huyu..mkeo akizaa atakua kama diaba la maji..mtumbo kule..na ukimfata flat nae alizaa yaleyale..tuone kama utamaliza wanawake wote,,kenge wee
 
Hapo hakuna mchungaji, kwenye thread ya uteuzi wa mgombea ubunge kwa ticket ya CHADEMA Kalenga ameahidi kutoa tiGO kama CHADEMA watashinda.
Mkuu kama mambo yenyewe yako hivyo humu jamvini inawezekana tunamjadili mtu mwenye mapungufu makubwa mno. Ni kumpotezea mtu kama huyu tu.
 
hapo sasa penyewee...hajaona vya kusema huyu..mkeo akizaa atakua kama diaba la maji..mtumbo kule..na ukimfata flat nae alizaa yaleyale..tuone kama utamaliza wanawake wote,,kenge wee

Bora kenge kuliko nyani anejichoma moto mdomo na nyuma.
 
no Le vitambizz u knw!..ni majangaz u knw!
vitambi.jpg


Ni shidaaa
 
Mleta thread, kuna tofauti kubwa sana kati ya Jokate na Shilole
 
Back
Top Bottom