neliswa subra
Member
- Sep 3, 2012
- 62
- 16
hapa ni oparesheni tokomeza vitambi!
no Le vitambizz u knw!..ni majangaz u knw!
Mi mwenyewe tumbo langu kubwa kama .dingi mjamzito
Am so hot aint i?au wanaume mnasemaje!
Mume wangu anakilaliaje kitambi changu!!!! i love you bebi
Zamani kuwepo wewe??mwanaume kutokuwa na 6 packs kawaida!..sasa mwanamke kuwa na kitambi ulionaga wapi? Mbona zamani wanawake walikuwa hawana mitambi!...urohooo huo!