Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Na wale wanaume wenye vitambi nao jee hawakukeri

Kuna wadada ambao wanakuwa na matumbo makubwa baada ya kujifungua
 
Its true punguzeni masupu na beer, hatutaki matukunyema
 
Desktop1-6.jpg

Ahsante!.....katisha sana kama yuko hivi!
 
Na wewe siku moja moja uwe unaweka siredi za maana khaaa!.!

Juzi uumekuja na sijui mijimama ya uswazi,
Jana ukaja na kungonoka na katoto ka 15yrs Mtwara
leo mitmbo mikubwa kama viroba...... khaaaa.

Siku moja moja lete siredi za kueleweka!
 
Mkuu vipi mkeo anatumbo kubwa nini........... Lakini wengne tunapenda mitumbo mikubwa inakuwa raahaa
 
mkuu mi sijaelewa kitu ulichoandika hapo!

Usishangae sana dogo!!..mjini hapa u knw!...mimi na Le mutu.z tuna undugu u knw!!....sawa mbebes wa ukwee!!...hopefully utakuwa super viwangoz u knw!!
 
Mxiuuuu! Shika adabu yako wanawake wa JF hatuna vitambi usitufananishe na uswazi kwenye mishkaki ya sh 100 eboo.
 
Back
Top Bottom