Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Aiseee.......wapenzi wetu wameridhika na hivyo vitambi vyetu na wewe kama vipi mfuate huyo Jokate si ndo unapenda wa hivyo
 
mxiuuuu!shika adabu yako wanawake wa JF hatuna vitambi usitufananishe na uswazi kwenye mishkaki ya sh 100 eboo.


Wifi naona kakuchefua.... huyu sijui vipi kwani kalazimishwa kuwafuata wenye vitambi?
 
Aiseee.......wapenzi wetu wameridhika na hivyo vitambi vyetu na wewe kama vipi mfuate huyo Jokate si ndo unapenda wa hivyo
thubutu atamwona kwenye picha tu huyo Jokate hadhi yake vitambi kutaka kujipaisha tu hapa.
 
usishangae sana dogo!!..mjini hapa u knw!...mimi na Le mutu.z tuna undugu u knw!!....sawa mbebes wa ukwee!!...hopefully utakuwa super viwangoz u knw!!

kijana jiangalie sana....siku nyingine nitakuvujisha povu, mi sio dogo kwako .....tena mi sio mbebes!
 
kimekosekana kitufe cha kiss haya chkua like mkuu

hahahaha!...afu nyie mnaonekana mtakuwa na vitambi dizaini ya cha kaptein komba!...maana mnavyotoka povu hatareee!
 
Yaani madada ya siku hizi
sijui yakoje!...yanakeraaaa!!..hadi kichechefu!!..

Unakuta dada mzuri ajabu!..shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja
mweh!!...kuja mbele sasa..chevuuuu!!!..mtumbo huo!...uzuri wote chalii!

Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho!!..mnakula sana kuliko hata
midume!..machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini
yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!

Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke
ni nani!..kwani mki maintain shape kuna ubaya gani!..

We huoni watoto kama jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha!!...sio
kama shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo!!...au mfano mzuri mdada
Lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu
zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!

dr.holygrail

aaah, nimetoka kukata kiepe egg hapa, kitamuje!
 
hahahaha!...afu nyie mnaonekana mtakuwa na vitambi dizaini ya cha kaptein komba!...
starehe ya mume wangu we kinakuhusu nini upyanku pyanku tu loh!peleka umbea uswazi huko.
 
starehe ya mume wangu we kinakuhusu nini upyanku pyanku tu loh!peleka umbea uswazi huko.

ama kweli aliesema ukweli unauma nampa big up!!

I dont mean to be rude but.....
 
Yaani madada ya siku hizi sijui yakoje!...yanakeraaaa!!..hadi kichechefu!!..

Unakuta dada mzuri ajabu!..shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh!!...kuja mbele sasa..chevuuuu!!!..mtumbo huo!...uzuri wote chalii!

Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho!!..mnakula sana kuliko hata midume!..machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!

Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke ni nani!..kwani mki maintain shape kuna ubaya gani!..

We huoni watoto kama jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha!!...sio kama shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo!!...au mfano mzuri mdada Lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!

dr.holygrail

Unatumia ma------ kufikiria wewe?
 
kijana jiangalie sana....siku nyingine nitakuvujisha povu, mi sio dogo kwako .....tena mi sio mbebes!
Invisible JF inahitaji mabadiliko mkuu, kuwepo na eneo la JINSI/JINSIA maana huu udhalilishaji humu ndani umezidi asee. Imagine mzee mzima kama Majigo anaitwa mbebez
 
Listen holygrail uungwana ni pamoja na kuomba radhi, mada yako umeitoa kikejeli-kejeli kiasi kwamba inaboa na kukera moyo. Mimi ni mwanaume inawezekana hata zaidi yako lakini topiki yako haijanifurahisha imekaa kidharau dharau sana something which is not fair
 
Back
Top Bottom