Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Ukweli upi pretender ww?

ah!..not again..we mbebes mbona unatoka povu jamani!...kwani mimi nilkwambia uwe na kitambi!..mweh!!..utakuwa mbebes wa uswazi wewe!!
 
yani kantibua ka nini mxiuuuu! haya vip familia huko wifi angu.

Familia inaendelea vizuri wifi yangu, haya niambie wifi mbona under 20 anatangaza kukuuwa we na huyo sijui Window7 eti mmemgeuka.......lohh!!!
 
Last edited by a moderator:
Alokwambia zamani hawakua na vitambi kina nani ebu kamfunue bibi yako,
mwanaume kutokuwa na 6 packs kawaida!..sasa mwanamke kuwa na kitambi ulionaga wapi? Mbona zamani wanawake walikuwa hawana mitambi!...urohooo huo!
 
  • Thanks
Reactions: amu
Familia inaendelea vizuri wifi yangu, haya niambie wifi mbona under 20 anatangaza kukuuwa we na huyo sijui Window7 eti mmemgeuka.......lohh!!!

hahahah!...mbebes wenye vitambi wanajuana kwa viremba u knw!!
 
Last edited by a moderator:
Desktop1-6.jpg

she is beautiful eehh!!! kweli walioenda kwenye party walienjoy sana.
 
Yani wewe mtoa mada nataman hata kukutafunatafuna kwa mada yako mbovu isiyo na staha wala adabu
 
Kila mtu ana haki ya kuishi anavyotaka.

Watu wanajibadilisha jinsia, itakuwa hiyo mitumbo tu?

Do you, and let others do them.
Obesity & related health problems ina-stress health insurance ambayo watz sote tunashea.
 
Familia inaendelea vizuri wifi yangu, haya niambie wifi mbona under 20 anatangaza kukuuwa we na huyo sijui Window7 eti mmemgeuka.......lohh!!!
under twenti mwache alalame tu shosti watu wamembembeleza wee anaringa mi nikachukua fursa kwa Window7 na hv nnavyoongea nshaanza kusikia kichefchef,nalala hovyo sipendi dagaa nataka kuku sijui kimejipa!
 
Last edited by a moderator:
Yaani madada ya siku hizi sijui yakoje!...yanakeraaaa!!..hadi kichechefu!!..

Unakuta dada mzuri ajabu!..shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh!!...kuja mbele sasa..chevuuuu!!!..mtumbo huo!...uzuri wote chalii!

Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho!!..mnakula sana kuliko hata midume!..machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!

Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke ni nani!..kwani mki maintain shape kuna ubaya gani!..

We huoni watoto kama jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha!!...sio kama shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo!!...au mfano mzuri mdada Lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!

dr.holygrail
Ni kweli. Vitambi vya wadada vinaboa, vinakera, vinaudhi. Hata kama wengi watajifanya wanachukia. Ni kwamba waache vidonge vya kuzuia uzazi. Wakome kubugia nyama, chips mayai na pombe za bure.... Maana wakipewa ofa wanakula hovyo ili kukomoa.
 
Sisi tunawapenda kama walivyo, wewe unayependa models muone Lundenga.

Ina maana ni ruksa kwa lijanaume zima kuwa na mtumbo hata akidondosha sh 100 hawezi kuiokota?

muwaache wanawake wapumuwe.
wapumue kupitia 'tundu' lipi? kindly specify/
 
watashindaa...hawatashindaa.
wamekuelewa mkuu..
 
hahahah!...mbebes wenye vitambi wanajuana kwa viremba u knw!!
saizi yako Isha mashauzi kasutane nao hukoo tuache watu na hali zetu utakuja kuveshwa kimini katkat ya mji kizee wewe.
 
Back
Top Bottom